Pre GE2025 Mbowe Usikubali Kuachia Chama Ulichokipigania Kwa Jasho, Damu na Fedha kwa Mhamiaji wa NCCR-Mageuzi, kama ni rahisi Akaanzishe Chake

Pre GE2025 Mbowe Usikubali Kuachia Chama Ulichokipigania Kwa Jasho, Damu na Fedha kwa Mhamiaji wa NCCR-Mageuzi, kama ni rahisi Akaanzishe Chake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19

Thread kama hii in a implications kwamba hapa Tanzania vijana wengi hawajui vision wala mision ya vyama vya siasa. Wanajua vision na mision ya vyama ni maslahi na project za watu.

Lakin kumbe vyama vya siasa ni msingi mkubwa wa Taifa kupata viongozi bora wa kuliongoza Taifa. Na hata katiba mpya tunahitaji vyama viwe vya public sio vya watu binafsi. Kwa hiyo ndugu variable unaonyesha weledi wako ni mdogo sana na upo level ya uchawa. Huna vision wala mission ya kulisaidia taifa kuvuka zaidi ya kuongea tu pumba za kichawa.

Previous kuna MTU ka question kuhusu great thinker wapo wapi? JF was so deep and wide in big discussion of our country in politics and economic. Apparently, MTU anadiscuss na kutoka majasho, kuwa Mbowe usiachie chama ulichokipigania. Hiyo ni discussion ya kimzoga.
 
Chama cha Mtei mkwewe, Mbowe kakikuta miaka ya 90 hakuwemo kwenye siasa kiivyo.
Mwenyewe yuko migombani huko anakula supu tu,na mbuzi choma.
Ruzuku inatafunwa nyie nendeni mkaandamane mkidai katiba mpya.
 
Thread kama hii in a implications kwamba hapa Tanzania vijana wengi hawajui vision wala mision ya vyama vya siasa. Wanajua vision na mision ya vyama ni maslahi na project za watu.

Lakin kumbe vyama vya siasa ni msingi mkubwa wa Taifa kupata viongozi bora wa kuliongoza Taifa. Na hata katiba mpya tunahitaji vyama viwe vya public sio vya watu binafsi. Kwa hiyo ndugu variable unaonyesha weledi wako ni mdogo sana na upo level ya uchawa. Huna vision wala mission ya kulisaidia taifa kuvuka zaidi ya kuongea tu pumba za kichawa.

Previous kuna MTU ka question kuhusu great thinker wapo wapi? JF was so deep and wide in big discussion of our country in politics and economic. Apparently, MTU anadiscuss na kutoka majasho, kuwa Mbowe usiachie chama ulichokipigania. Hiyo ni discussion ya kimzoga.
Porojo,hao viongozi ni wapo Kwa maslahi Yao na si vinginevyo
 
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19


Machawa wa CCM awe Mbowe au Lissu misimamo mikali inakuja
 
Nchi ina vilaza wengi sana , kwamba kila aliejenga ghorofa tz hii yupo kwenye payrol ya mfumo ,ujinga mzigo tafuten pesa acheni uchawa uchwara
 
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19

Mbowe amekataa ujinga wa mawakala wa Mabeberu kina Amsterdam 🤣 🤣 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DD1pnTlKCqJ/?igsh=MTJjM29udHgwZHF2dg==
 
Kwahiyo Nyerere mwaka 1985 na 1990 alikubali kuachia nchi na chama ambacho alikipigania kwa jasho na damu alafu wala hakumkumbuka mwanae Makongoro. Hivi yule mwamba kwanini alfanya hivyo? Nimejiuliza embu nijijibu

Nafikiri alitaka nchi na chama viwe mali ya watanzania siyo ya familia yake. Kwahiyo yote aliyoyafanya aliyafanya kwa ajili ya watanzania. Dah yule mwamba alishindwa hata kujitajirisha
 
Kwahiyo Nyerere mwaka 1985 na 1990 alikubali kuachia nchi na chama ambacho alikipigania kwa jasho na damu alafu wala hakumkumbuka mwanae Makongoro. Hivi yule mwamba kwanini alfanya hivyo? Nimejiuliza embu nijijibu

Nafikiri alitaka nchi na chama viwe mali ya watanzania siyo ya familia yake. Kwahiyo yote aliyoyafanya aliyafanya kwa ajili ya watanzania. Dah yule mwamba alishindwa hata kujitajirisha
Hakuachia vibaka Wala vibaraka wa kina Amsterdam 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DD2dmbkssb-/?igsh=bzkzM215MjA2N2sx
 
Back
Top Bottom