Mbowe usikubali kumkabidhi Lissu chama! Kama mbaya, mbaya!

Mbowe usikubali kumkabidhi Lissu chama! Kama mbaya, mbaya!

Huyu utamwaminije? Msikilize hapa

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
migambo wanaruka na kukanyagana 🤣

Lisu ana tamaa na uchu wa madaraka ya kulevya sana ndrugu zangu.

hata hivyo,
mabwenyenye ya magharibi yamemshinikiza agombee uenyekiti ile fedha na miamala watakayomtumia ifikie mikononi mwa chama au taasisi anayoiongoza yeye.

Vinginevyo wamemwambia hawataweza kumfadhili huku fedha zifikie kwa mtu mwingine ndiyo ampatie yeye.

Pia walimuhoji, kwamba si ulituambia kwamba wewe ni infuencial sana Tanzania, kulikoni unagombea umakamu mwenyekiti badala ya uenyekiti?

External forces na tamaa vimemfanya awe na pupa na hivyo anakwenda kukosa vyote 🐒
 
Huyu utamwaminije? Msikilize hapa

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Mbona hukuwahi kushangaa chadema kusema Lowassa fisadi, apigwe mawe halafu wakampa kijiti cha kupeperusha bendera ya kugombea urais?
 
Huyu utamwaminije? Msikilize hapa

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Mbona Lissu ameeleza kwa nini amaebadilisha mawazo na kuamua kugombe, na kesho ukisikia Mbowe akisema anamuunga mkono Lissu utaweka wapi uso wako? Na unaposema Mbowe asimkabidhi chama Lissu kwani Chadema ni kampuni binafsi ya Mbowe? Na kama Lissu akiwa Mwenyekiti huyo Mbowe atahama chama? Mbona mnataka kumdhalilisha Mbowe na kuzipa nguvu tuhuma za maccm kuwa Chadema ni Saccos ya Mbowe? Waswahili wanasema kuchamba kwingi ni kuondoka na mavi matakaoni, kuzidi kumsifia kwenu Mbowe sasa imegeuka kuwa mnampaka matope. Chadema ni chama cha siasa wacheni demokrasia ichukue mkondo wake kama wanachama wakimchagua Lissu ni haki na kama wakimkataa kwa uchaguzi ulio huru na haki yote ni sawa.
 
CCM hawamtaki Mbowe, hawana hofu na Lisu!
Hebu ona aibu, fanya research ndogo tu hapa JF ni akina nani wanampigia debe Mbowe na nani wanampiga mawe Lissu, angalia hata kwenye post # 1 nani wame like . Ujue una justfy madai ya baadhi ya wana CCM kuwa Mbowe ni pandikizi la CCM kupoozesha upinzani ili CCM iendelee kutawala jambo ambalo mimi siku zote nimelipinga na kumuona Mbowe ni mpinzani wa kweli na amefanya mengi makubwa kuijenga Chadema ila kwa sasa aina ya siasa za CCM za ubabe na ukatili haziendani tena na falsafa ya Mbowe ndipo sasa tunahitaji approach nyingine kuikabili CCM jambo ambalo hata Mbowe mwenyewe amekiri juzi. Punguzeni uchawa vingnevyo mnakuwa kama Lucas Mwashambwa ambaye naye amejiunga nanyi kumpigia debe Mbowe.
 
Huyu Tundu Lissu anaonekana kama mwiba mkali kwa jamii ya wale jama wa sare za kijani
 
Moja ya sifa nzuri na muhimu kwa kiongozi ni kuwa tayari kuwasikiliza unaowaongoza, kutathmini na kuzingatia maoni na ushauri wao, na kisha kufanya maamuzi au kuwa tayari kubadilika kwa kuzingatia matakwa ya unaowaongoza.

Maadam Lisu amezingatia matakwa na ushauri wa baadhi ya wanachama na viongozi anaowaongoza, ni jambo jema. Je, waliomshauri na wanaopenda awe kiongozi mkuu wa CHADEMA wanawakilisha kwa kiwango gani matakwa ya wengi, hilo litajulikana kupitia kura za wajumbe wawakilishi.
Whatever, issue hapa si nani anashinda, issue ni kuwa is CHADEMA AS A PARTY SAFE? Mimi sina shaka na Lisu, shaka yangu ni kuwa anakosa busara kuona kuwa kuna adui mkubwa CCM na vyombo vyake vyote...TISS, POLISI, and to a lesser extent JW wote wako against Chadema. Ni busara kuleta mgawanyiko at thi moment?
THIS IS MY CONCERN.. NDIPO NINPOMUONA LISU HOPELESS!
 

Attachments

  • SK.mp4
    20.1 MB
Huyu utamwaminije? Msikilize hapa

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Mbowe ni mwanachama kama mwanachama mwingine japo ni mwenyekiti , watakao amua nani ni mwenyekiti ni wajumbe wa mkutano mkuu sio vinginevyo.

By the way napendekeza ( John Heche )achukue form ,Mbowe na Lissu wapigwe chini
 
Hebu ona aibu, fanya research ndogo tu hapa JF ni akina nani wanampigia debe Mbowe na nani wanampiga mawe Lissu, angalia hata kwenye post # 1 nani wame like . Ujue una justfy madai ya baadhi ya wana CCM kuwa Mbowe ni pandikizi la CCM kupoozesha upinzani ili CCM iendelee kutawala jambo ambalo mimi siku zote nimelipinga na kumuona Mbowe ni mpinzani wa kweli na amefanya mengi makubwa kuijenga Chadema ila kwa sasa aina ya siasa za CCM za ubabe na ukatili haziendani tena na falsafa ya Mbowe ndipo sasa tunahitaji approach nyingine kuikabili CCM jambo ambalo hata Mbowe mwenyewe amekiri juzi. Punguzeni uchawa vingnevyo mnakuwa kama Lucas Mwashambwa ambaye naye amejiunga nanyi kumpigia debe Mbowe.
Hakuna mwenye akili Timamu wa kumpigia kura lissu.kama ana akili angejitoa mapema sana kabla aibu kuu haijamkuta.
 
Hebu ona aibu, fanya research ndogo tu hapa JF ni akina nani wanampigia debe Mbowe na nani wanampiga mawe Lissu, angalia hata kwenye post # 1 nani wame like . Ujue una justfy madai ya baadhi ya wana CCM kuwa Mbowe ni pandikizi la CCM kupoozesha upinzani ili CCM iendelee kutawala jambo ambalo mimi siku zote nimelipinga na kumuona Mbowe ni mpinzani wa kweli na amefanya mengi makubwa kuijenga Chadema ila kwa sasa aina ya siasa za CCM za ubabe na ukatili haziendani tena na falsafa ya Mbowe ndipo sasa tunahitaji approach nyingine kuikabili CCM jambo ambalo hata Mbowe mwenyewe amekiri juzi. Punguzeni uchawa vingnevyo mnakuwa kama Lucas Mwashambwa ambaye naye amejiunga nanyi kumpigia debe Mbowe.
Mimi sina shaka na Lisu, Lisu anaweza sana kuongoza Chadema as Mwenyekiti. My point of contention is this: Unaangalia ni wakati gani wa kuleta mgawanyiko katika chama chenu. Mna maadui wakubwa..CCM, TISS, POLISI and to a lesser extent JWTZ, sasa unaleta kitu/hoja ambayo maadui wenu will bank on that! Una akili kweli? This is Lisu, hapo ndipo namuona hopeless!
 
Huyu utamwaminije? Msikilize hapa

Tundu Lissu: "Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, hizo ni kelele za uchaguzi tu" Kamera za Habarimpya zilirekodi Video hii miezi mitano iliyopita, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu akibainisha msimamo wake wa kutogombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Tundu Lisu Mwenyekiti Mpya wa Chadema kama hutaki kaolewe na Joho 🤣🤣
 
Mimi sina shaka na Lisu, Lisu anaweza sana kuongoza Chadema as Mwenyekiti. My point of contention is this: Unaangalia ni wakati gani wa kuleta mgawanyiko katika chama chenu. Mna maadui wakubwa..CCM, TISS, POLISI and to a lesser extent JWTZ, sasa unaleta kitu/hoja ambayo maadui wenu will bank on that! Una akili kweli? This is Lisu, hapo ndipo namuona hopeless!
Haya mambo ya kulea na kuficha maovu ndiyo yako CCM na ndiyo yameiharibu nchi hii, lazima tuwe na utamaduni wa kukemea maovu wazi wazi bila kujali yamefanywa na nani. Lissu alikuwa na haki ya kuyasema mapungufu yote aliyoyaona kwani ndiyo yaliyopelekea yeye kutangaza nia kuwa anataka kuyakomesha.
 
Kimandolu mkubwa wewe
 

Attachments

  • IMG_4056.jpeg
    IMG_4056.jpeg
    121.8 KB · Views: 1
Hakuna mwenye akili Timamu wa kumpigia kura lissu.kama ana akili angejitoa mapema sana kabla aibu kuu haijamkuta.
Uchaguzi ni wa CHADEMA , wewe mwana CCM huku matako juu juu utafuta wa kukuchochea moto? Wawacheni wafanye uchaguzi wao kwa amani kwan CCM Mnatatizo gani ? Nyie si nichama kongwe na kikubwa sasa mnaweweseka na nini?
 
Whatever, issue hapa si nani anashinda, issue ni kuwa is CHADEMA AS A PARTY SAFE? Mimi sina shaka na Lisu, shaka yangu ni kuwa anakosa busara kuona kuwa kuna adui mkubwa CCM na vyombo vyake vyote...TISS, POLISI, and to a lesser extent JW wote wako against Chadema. Ni busara kuleta mgawanyiko at thi moment?
THIS IS MY CONCERN.. NDIPO NINPOMUONA LISU HOPELESS!
Yaani watu wote wamuone Anafaa wewe Shujaa wa mtandaoni ambaye unanufaika hapo Makao makuu ya Chadema uone hafai

Awamu hii mtahama chama
 
Hakuna mwenye akili Timamu wa kumpigia kura lissu.kama ana akili angejitoa mapema sana kabla aibu kuu haijamkuta.
Wewe kidampa na chawa wa Samia unapata wapi uhalali wa kuyasemea mambo ya Chadema? Lissu ametia nia na anakwenda kuchukua form kuomba kugombea uenyekiti hivyo ni jukumu na wajibu wa wanachadema na wapiga kura kumtathmini na wakiona anafaa kuongoza watampa kura na atakuwa mwenyekiti sasa mpuuzi wewe tena chawa wa Samia una nguvu gani kuzuia Tundu Lissu asiwe mwenyekiti? Nakuona unatoa povu na kumkashifu Tundu Lissu hivi wewe na uchawa wako huo unaweza kufika hata 1% ya uwezo na IQ ya Lissu? Hebu endelea na upuuzi wako wa kusifia lichama lako la majizi ya kura waache Chadema wafanye yao, jitahidi watu wasizidi kukudharau humu na kugundua kuwa huna akili kabisa.
 
Back
Top Bottom