Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

EVIDENCE? EVIDENCE EVIDENCE siyo kuropoka tu!
Hiyo kitu unayotumia acha inakufanya uonekane juha,wizi wa kura na kuenguliwa kwa wapinzani hukuona evidence?
Kushambuliwa kwa Lissu na hadi leo hakuna uchunguzi unahitaji evidence gani?
Kutekwa na kuuliwa mfano mzee Ali Kibao unahitaji evidence gani, nani amekamatwa?
Ben Saanane wapi uchunguzi wake ulifanywa hadi tumapata evidence kwa Eric Kabendera, umependa hujapenda ndiyo hivyo hivyo kanywe sumu
 
Mchaga kama anataka kuheshimika aachie chama kwa mtu mwingine kama hamtaki TAL
 
Nilidhani ni Mzee mwenye busara kumbe ni wale wale Chawa. Mahaba kwa Mbowe yamekuzidi. Ukiona CCM wanamuunga mkono mgombea wa upinzani tena wa ngazi ya juu, ni dhahiri kuna jambo la hatari.
 
Lisu ni hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
 
Ila kumbagaza Lissu hujakemea maana umeoendezwa nayo, you are deluded
 

Chama sio cha mbowe wala cha wachagga
 
Hapa ni akili na mtazamo tu, kwako kuita spade a spade ni kuropoka. Inawezekana mazungira ya makuzi ni jamii ya wanafiki kiasi hawa wezi wa kura wabembelezwe kama anavyowabembeleza Mbowe ambaye ameshtukiwa yupo kwa maslahi ya CCM.

Defamation ni kosa kisheria, hebu tueleze ni kesi ngapi zilizofunguliwa against Lissu kutokana na kuropoka? Hapa unaonyesha matatizo kichwani kwa kusuggest anaweza kupigwa tena risasi. Unamaanisha ni sawa mtu anayesema kweli kukosoa uovu haki yake ni kuuliwa?

Maridhiano ya Mbowe tumeona matokeo yake kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita. Tuko na Lissu "NO REFORM NO ELECTION".

Hela za mama Abdul zitawatokea puani
 
Fine for your information..... nilimaliza UDSM 1983...siwezi kuwa nakula kwa Mbowe/chadema....you can guess my age!
Then show maturity onyesha tofauti kati yako na akina Ntobi na Yericho Nyerere
 
I disappointed you by not supporting Mbowe?!
 
Unajua Lisu amesema mwenyekiti wake ni muongo kwa uongo wa mara ngapi?
 
Hili nalo taka taka tu! hatukulijua....... safari hii hakuna nairobi,litaishia muhimbili
Haya maneno hayawezi kutoka kwa mtu ambaye yuko vizuri upstairs, no wonder unamsapoti Mbowe
 
Risala ndefu lakini ni rubbish, Lissu kugombea kakosea wanaomkashifu na kumtolea shutuma haki ila yeye kujibu nongwa.
Chawa wa Sultani Mbowe mnakazi
 
Hili la kumwita bosi wake muongo... Sio kabisa!. Huku ni kumtukana Mwenyekiti, kuna lugha za kutumia mfano kusema Mbowe hayuko sahihi sio kumuita muongo!.
P
With due respect namba kutofautiana nawe, kauli matamko na maneno wanayotoa team Mbowe akina Paul Ntobi, Yericho Nyerere na akina Wenje dhidi ya Lissu si ya heshima hata kidogo. Kama Mbowe angekuwa hahusiki angekemea au kujitenga nao, lakini kakaa kimya ina maana anahusika na matendo yao.

Kama hiyo haitoshi Mbowe akitumia hekima za akina Yericho Nyerere ameamua kusema uongo ili aendeleze uongo unaosemwa na wapambe wake which is very unfair.

Hata kama kiongozi hutakiwi kusema public uongo dhidi ya kiongozi mwenzako kwa dhamira ya kumdiscredit, lugha ya kuficha ficha madhaifu ya viongozi ni ya CCM iliyosababisha tukawa na viongozi wezi, watekaji na wauaji tukafika hapa. At least Lissu has the guts kumwita muongo muongo regardless of his title. Na ndio tunayemhitaji
 
Bora kwanza CHADEMA ijisafishe wabaki wale wenye nia ya dhati ya kuipeleka mbele CHADEMA. Sikiliza hoja zake halafu uzijibu, wewe unapreset mind kwamba ni vibaya kusema kweli.

Maridhiano ni ujinga kipi ambacho kina maslahi ya taifa kupitia maridhiano? Kumbuka maridhiano yalianzishwa na CCM baada ya aibu ya kumtangaza Mbowe kuwa ni gaidi na kushindwa kutengeneza ushahidi wa kumtia hatiani.

Samia alitumia BBC kumtangaza Mbowe kuwa ni gaidi, je mbona hajatangaza kuwa Mbowe siyo gaidi na ni mshirika wa siasa za Tanzania? Ugaidi umefutwa na maridhiano? Mbona USA hawakufanya maridhiano na Osama? Huu ni ujinga Lissu is very right.

Unasema kuwa viongozi hawakufanya jitihada za kuwaambia wajiandikishe kwenye dadtari la maboresho ya wapiga kura, are you serious? Hilo daftari ndilo lililotumiwa na CCM kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa? Hili daftari lililoandikisha wafu, watoto wa shule? kwa nini usizungumzie mechanism ya kuzuia upuuzi huu ambao Lissu anaupigania KATIBA MPYA:

Upotoshaji ndio nguzo kuu ya CCM na makada wao kwamba hawakujiandikisha, no wonder ulikuja na makala ndefu kusifia na kupongeza CCM kwa ule ushindi wa aibu. Hiyo hoja ya kutojiandikisha bora mngeizungumza lumumba, mnachomuogopa Lissu ni kauli mbiu ya NO REFORM NO ELECTION. Mbowe ameisha capitulate na Lissu haeleweki, ni unafiki kumuita mtu anayesema spade a spade ni kilopo huu ni uendawazimu tunaukemea.

Umeweka video kuna hoja hujazijibu bali hoja za kufijirika kuwa kuwa mkweli ni kiropo, je nyie mliosifia uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita wa wizi wa aibu ndio mfano wa kuigwa? CCM imetengeneza kizazi cha ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…