FOREMOST:
1.DO NOT ATTEND MDAHALO NA MPUUZI HUYU, WAKATI UMEFIKA WA KUNYAMAZA NA KUCHUKUA HATUA
2. Lisu amekosa nidhamu. Komaa na chama chako/chetu na asilani usimwachie chama.
3. Ni mtovu wa nidhamu kwa kiasi kikubwa, mwongo, kigeugeu, haamiiki, mla rushwa...... sikiliza attached clip
4. Afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono na juhudi zako na wanachi wegi wenye
nidhamu!
5. HATUKUMJUA UHALISIA/UNDANI WAKE.....KAMA HUKO NYUMA AMBAVYO HATUKUMJUA LYATONGA MREMA........akaiua NCCR MAGEUZI na kanzisha TLP ambayo nayo ilikufa./..........sikiliza clip niliyoiweka hapa
To me kwa mwenendo wa Lisu acha kife! Hakuna kidumucho duniani....na huu ndio mwisho wa chdema kuliko kumpa mpuuzi huyu!