Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

FOREMOST:

1.DO NOT ATTEND MDAHALO NA MPUUZI HUYU, WAKATI UMEFIKA WA KUNYAMAZA NA KUCHUKUA HATUA

2. Lisu amekosa nidhamu. Komaa na chama chako/chetu na asilani usimwachie chama.

3. Ni mtovu wa nidhamu kwa kiasi kikubwa, mwongo, kigeugeu, haamiiki, mla rushwa...... sikiliza attached clip

4. Afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono na juhudi zako na wanachi wegi wenye
nidhamu!

5. HATUKUMJUA UHALISIA/UNDANI WAKE.....KAMA HUKO NYUMA AMBAVYO HATUKUMJUA LYATONGA MREMA........akaiua NCCR MAGEUZI na kanzisha TLP ambayo nayo ilikufa./..........sikiliza clip niliyoiweka hapa

To me kwa mwenendo wa Lisu acha kife! Hakuna kidumucho duniani....na huu ndio mwisho wa chdema kuliko kumpa mpuuzi huyu!
View attachment 3194596
Kwa hili..NIMEANINI CHADEMA KILIKUWA CHAMA CHA WACHAGA ila kwa sasa IMEKULA KWAO wajiandae kuwa wafagiaji na makatibu muktasi tu,huku juu hawapawezi tena.
 
Wapiga kura ndiyo watakaoamua kwenye Sanduku la Kura siyo Mbowe!
 
Hili la kumwita bosi wake muongo... Sio kabisa!. Huku ni kumtukana Mwenyekiti, kuna lugha za kutumia mfano kusema Mbowe hayuko sahihi sio kumuita muongo!.
P
Kaka katika kufikisha Hisia , wanadamu tumetofautiana.

Koleo ni Koleo, na kijiko ni kijiko.

Yaan ni sawa na kua FISADI , mwingine atakuita FISADI wewe ..Mwingine atasema, Jamaa anakula Pesa ya Umma.

Swali..Je ni sahihi Kwa Akina Ntobi , Wenje kumuita Kiongozi wao LISSU kua Muongo????
 
whatever meaning......
Nashukuru kwa kujua kuwa uwezo wa Mbowe ni mdogo, hivyo unamshauri asishiriki mdahalo maana ataingia aibu ya karne. Tunaposema wakati ukuta hii ndio maana yake.

Ni hivi, kama una miradi iliyokuwa haijakamilika na ulitegemea itakamilika kwa Mbowe kuendelea na uenyekiti, basi jiandae kisaikolojia.
 
Hili la kumwita bosi wake muongo... Sio kabisa!. Huku ni kumtukana Mwenyekiti, kuna lugha za kutumia mfano kusema Mbowe hayuko sahihi sio kumuita muongo!.
P
Hizo lugha za kuficha ficha ndio zimekifikisha ccm kuwa chama kinachoongozwa kwa nidhamu za woga na unafiki. Kama neno muongo sio neno sahihi, liko kwenye kamusi ya kiswahili ili litumike wapi na kwa nani?
 
Lissu alikua kakaa sehemu nzuri ya kushinda au siku moja kuongoza CDM au hata TAIFA.Lkn kwa jinsi wapambe walivyomuingiza mkenge hawezi ataleta mpasuko.
Staili yake ya sasa ya kujifanya utafikiri yeye sio sehemu ya CHADEMA, kwamba yaliyokuwa yanafanyika humo yeye hayajui. Hasemi kwa mafasi yake alifanya nini kama kiongozi katika kurekebisha au kujaribu kuweka mambo sawa NA HAPO NDO ANGETOKEA.Lkn sio yeye ndo system yenyewe ya Chadema, kiongozi wa kamati ya maadili halafu hachukui hatua abasubiri kuja kusema majukwaani.
Hakuna mtu, taifa, chama, kampuni ambayo haina matatizo au hakuna kiongozi na mtu yoyote duniani hapa kanyooka kama ruler.
Lissu ni opportunitic, mbinafsi na msaliti - HATUWEZI kuwa na Rais kama huyu..atakuwa anakataa accountability ya vyombo vyake kwa kukaa pembeni na kujifanya yeye msafi.
Huwezi leo hii ukamsikia Mama Samia anakaa 24 hrs akilinanga jeshi la polisi - sababu yeye ni sehemu - anahusika nalo - kulisema as if alimuhusu ni ukichaa..anachoweza kufanya ni kujitahidi kurekebisha na hata akisema anasema kwa hekima na tahadhari - NDIO UONGOZI HUO.

Huwezi ukamsikia Trump au kiongozi yoyote wa kitaifa wa US akilisena jeshi lao licha ya shutuma kibao.

Huwezi ukamskia Netanyahu anawasema wanayeshi wake na kuwakandia mwanzo mwisho licha ta mauaji wanayofanya gaza.

Huwezi ukamsikia Dr.Nchimbi akimsema mwenyekiti wake au viongozi wenzake...hadharani..au unafikiri. CCM wamenyooka.

Nape,Kinana & Makamba walikuwa wanamsema JPM privately - sirini, isingekuwa kuingiliwa kwenye privacy yao watu baki wasingejua..lkn walikua na uwezo wa kuandika mapungufu yake mitandaoni etc...na ingekuwa na impact kubwa na hatari zaidi.
Hatuwasemi watoto wetu, wanafamilia wetu, wake zetu hadharani hata kama kuna ugomvi au mapungufu kiasi gani.

Lissu kwa hichi alichofanya kachemsha na hata akishinda atapasua chama..Huwezi kuwa commander in chief unapata taarifa zote kuhusu watu, mapungufu etc..then uwe na kifua chepesi ah fridge lako haligandishi - Kwanza utasumbua watu pili utakufa kwa presha na kihoro.
Pumba tupu
 
FOREMOST:

1.DO NOT ATTEND MDAHALO NA MPUUZI HUYU, WAKATI UMEFIKA WA KUNYAMAZA NA KUCHUKUA HATUA

2. Lisu amekosa nidhamu. Komaa na chama chako/chetu na asilani usimwachie chama.

3. Ni mtovu wa nidhamu kwa kiasi kikubwa, mwongo, kigeugeu, haamiiki, mla rushwa...... sikiliza attached clip

4. Afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono na juhudi zako na wanachi wegi wenye
nidhamu!

5. HATUKUMJUA UHALISIA/UNDANI WAKE.....KAMA HUKO NYUMA AMBAVYO HATUKUMJUA LYATONGA MREMA........akaiua NCCR MAGEUZI na kanzisha TLP ambayo nayo ilikufa./..........sikiliza clip niliyoiweka hapa

To me kwa mwenendo wa Lisu acha kife! Hakuna kidumucho duniani....na huu ndio mwisho wa chdema kuliko kumpa mpuuzi huyu!

Lissu alikua kakaa sehemu nzuri ya kushinda au siku moja kuongoza CDM au hata TAIFA.Lkn kwa jinsi wapambe walivyomuingiza mkenge hawezi ataleta mpasuko.
Staili yake ya sasa ya kujifanya utafikiri yeye sio sehemu ya CHADEMA, kwamba yaliyokuwa yanafanyika humo yeye hayajui. Hasemi kwa mafasi yake alifanya nini kama kiongozi katika kurekebisha au kujaribu kuweka mambo sawa NA HAPO NDO ANGETOKEA.Lkn sio yeye ndo system yenyewe ya Chadema, kiongozi wa kamati ya maadili halafu hachukui hatua abasubiri kuja kusema majukwaani.
Hakuna mtu, taifa, chama, kampuni ambayo haina matatizo au hakuna kiongozi na mtu yoyote duniani hapa kanyooka kama ruler.
Lissu ni opportunitic, mbinafsi na msaliti - HATUWEZI kuwa na Rais kama huyu..atakuwa anakataa accountability ya vyombo vyake kwa kukaa pembeni na kujifanya yeye msafi.
Huwezi leo hii ukamsikia Mama Samia anakaa 24 hrs akilinanga jeshi la polisi - sababu yeye ni sehemu - anahusika nalo - kulisema as if alimuhusu ni ukichaa..anachoweza kufanya ni kujitahidi kurekebisha na hata akisema anasema kwa hekima na tahadhari - NDIO UONGOZI HUO.

Huwezi ukamsikia Trump au kiongozi yoyote wa kitaifa wa US akilisena jeshi lao licha ya shutuma kibao.

Huwezi ukamskia Netanyahu anawasema wanayeshi wake na kuwakandia mwanzo mwisho licha ta mauaji wanayofanya gaza.

Huwezi ukamsikia Dr.Nchimbi akimsema mwenyekiti wake au viongozi wenzake...hadharani..au unafikiri. CCM wamenyooka.

Nape,Kinana & Makamba walikuwa wanamsema JPM privately - sirini, isingekuwa kuingiliwa kwenye privacy yao watu baki wasingejua..lkn walikua na uwezo wa kuandika mapungufu yake mitandaoni etc...na ingekuwa na impact kubwa na hatari zaidi.
Hatuwasemi watoto wetu, wanafamilia wetu, wake zetu hadharani hata kama kuna ugomvi au mapungufu kiasi gani.

Lissu kwa hichi alichofanya kachemsha na hata akishinda atapasua chama..Huwezi kuwa commander in chief unapata taarifa zote kuhusu watu, mapungufu etc..then uwe na kifua chepesi ah fridge lako haligandishi - Kwanza utasumbua watu pili utakufa kwa presha na kihoro.
Watakaoamua huu mpambano ni wanachadema na sio mbowe, kwa sasa mbowe na lissu wote ni wagombea, Chama Cha siasa kikishasajiliwa ni Mali ya umma, mbowe atoe sera zake, ashawishi wajumbe, ndo demokrasia
 
Retired naomba ushahidi wa Lissu kula rushwa pamoja kuwa muongo.

Kila anayegombea uenyekiti wa kikoba, anaonekana adui, kwa hiyo nyie demokrasia mnayoihubiri iko wapi ?.

Chacha Wangwe alipigwa KO
Zitto Kabwe alifukuzwa kama mbwa mwizi akiwa na akina Prof Mkumbo.

Lissu kaundiwa zengwe ila bado amebaki kuwa kisiki cha mpingo, hivyo msipotumia mbinu zenu za CCM tar 21 January, kikoba kitaokolewa toka mikononi mwa wanyanganyi.
...hahaha safari hii tutajua chadema ni chama Cha kitaifa au kikoba? Lissu Yuko smart Sana, mbowe kwa sasa abaki mjumbe wa kamati kuu
 
Nashukuru kwa kujua kuwa uwezo wa Mbowe ni mdogo, hivyo unamshauri asishiriki mdahalo maana ataingia aibu ya karne. Tunaposema wakati ukuta hii ndio maana yake.

Ni hivi, kama una miradi iliyokuwa haijakamilika na ulitegemea itakamilika kwa Mbowe kuendelea na uenyekiti, basi jiandae kisaikolojia.
JF hatujuani, you can only assess somebody's analytical ability from his/her postings on this forum! And I have "known" you for a while and built an image that your analytical powers are high! !

Tindo, I thought you were different from most JF members! I am very much disappointed!

Have a nice day!
 
Watakaoamua huu mpambano ni wanachadema na sio mbowe, kwa sasa mbowe na lissu wote ni wagombea, Chama Cha siasa kikishasajiliwa ni Mali ya umma, mbowe atoe sera zake, ashawishi wajumbe, ndo demokrasia
Makes a lot of sense but remember Samia is dishing public funds as hers! Am I right?
 
Lissu alikua kakaa sehemu nzuri ya kushinda au siku moja kuongoza CDM au hata TAIFA.Lkn kwa jinsi wapambe walivyomuingiza mkenge hawezi ataleta mpasuko.
Staili yake ya sasa ya kujifanya utafikiri yeye sio sehemu ya CHADEMA, kwamba yaliyokuwa yanafanyika humo yeye hayajui. Hasemi kwa mafasi yake alifanya nini kama kiongozi katika kurekebisha au kujaribu kuweka mambo sawa NA HAPO NDO ANGETOKEA.Lkn sio yeye ndo system yenyewe ya Chadema, kiongozi wa kamati ya maadili halafu hachukui hatua abasubiri kuja kusema majukwaani.
Hakuna mtu, taifa, chama, kampuni ambayo haina matatizo au hakuna kiongozi na mtu yoyote duniani hapa kanyooka kama ruler.
Lissu ni opportunitic, mbinafsi na msaliti - HATUWEZI kuwa na Rais kama huyu..atakuwa anakataa accountability ya vyombo vyake kwa kukaa pembeni na kujifanya yeye msafi.
Huwezi leo hii ukamsikia Mama Samia anakaa 24 hrs akilinanga jeshi la polisi - sababu yeye ni sehemu - anahusika nalo - kulisema as if alimuhusu ni ukichaa..anachoweza kufanya ni kujitahidi kurekebisha na hata akisema anasema kwa hekima na tahadhari - NDIO UONGOZI HUO.

Huwezi ukamsikia Trump au kiongozi yoyote wa kitaifa wa US akilisena jeshi lao licha ya shutuma kibao.

Huwezi ukamskia Netanyahu anawasema wanayeshi wake na kuwakandia mwanzo mwisho licha ta mauaji wanayofanya gaza.

Huwezi ukamsikia Dr.Nchimbi akimsema mwenyekiti wake au viongozi wenzake...hadharani..au unafikiri. CCM wamenyooka.

Nape,Kinana & Makamba walikuwa wanamsema JPM privately - sirini, isingekuwa kuingiliwa kwenye privacy yao watu baki wasingejua..lkn walikua na uwezo wa kuandika mapungufu yake mitandaoni etc...na ingekuwa na impact kubwa na hatari zaidi.
Hatuwasemi watoto wetu, wanafamilia wetu, wake zetu hadharani hata kama kuna ugomvi au mapungufu kiasi gani.

Lissu kwa hichi alichofanya kachemsha na hata akishinda atapasua chama..Huwezi kuwa commander in chief unapata taarifa zote kuhusu watu, mapungufu etc..then uwe na kifua chepesi ah fridge lako haligandishi - Kwanza utasumbua watu pili utakufa kwa presha na kihoro.
Amini usiamini aliyosababisha mpasuko huu ni mbowe mwenyewe sio lissu, mbowe alichokifanya ni ubinafsi wa Hali ya juu, mpaka wameitwa na viongozi wa dini kupatanishwa mbowe anamzuia mwenzie kuchukua fomu au kutia Nia huku yeye alisema hajaamua, mbowe hata angekaa pembeni hakuna ambacho angekosa, angeendelea kubaki mjumbe wa kudumu kamati kuu, huu uchaguzi bila lissu kushinda mbowe anakwenda kukiua chama chake kwa mikono yake mwenyewe
 
Mkuu umevurugika hadi raha, hebu relax drama za politician zisikusumbue hivi......au we ni mbowe?!
Atakuwa Mbowe huyu, mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa post ya kijinga kama hii zaidi ya Mbowe baada ya kuona upepo umebadilika
 
Back
Top Bottom