Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Masharti hayo kwamba lazima amtukane na kumponda Magu lkn swali ni kwamba after all said and done chadema na Wachaga watapata nini kutoka kwa hii Serikali ya Samia? Mnafikiri Samia atawakabidhi power ? Sana sana mnatumiwa kama kiatu ili utawala wake uende smooth msimsumbue baada ya hapo hatowajua na hakuna kitu mtamfanya, kiatu kinatumiwa kikichakaa kinatupwa hakuna anayejumbuka kwamba kilimsaidia asichomwe na jua au miba, na ndivyo chadema na Wachaga watakachofanyiwa kama kiatu …
Kwani chadema ipo kaskazini tu? Wewe inaonekana hujatembea Tanzania..nenda Mbeya uone. Nenda kanda ya ziwa uone
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Mbaguzi alikuwa Magufuli. Yeye ndiye atubu kwanza
 
Arusha na Kilimanjaro kuwa ngome ya Chadema kuliwafanya wanyooshwe, yule jamaa alikuwa akipenda watu wanaomsujudia wakati wote na wale walioonesha upinzani kwake alikuwa tayari kuwanyoosha kwa njia yoyote.

Sabaya in particular na lile genge lake haramu, huyu aliachiwa uhuru wa kuwanyoosha wapinzani waliokuwa na misimamo, sidhani kama mikoa mingine nayo ilikuwa na "Sabaya" wao zaidi ya Kilimanjaro na Arusha.
Magufuli alisaidia sana wachaga kutambua kuwa ukabila sio mzuri iwe maofisini, kwenye siasa nk

Wamejifunza somo kipindi cha Magufuli wao ndio walikuwa vinara wa ukabila maofisini nk nenda hata taasisi walizoshika kama CRDB kichaga ni kama ndio Lugha ya taifa ndani ya benki wamejaa kila kona
Mitenda wakawa wanapeana wenyewe

Walijisahau walivyoona biashara wameshika ,wameshika vyeo vya juu serikalini sehemu nyeti na kuajiliana kiupendeleo wakajiona sasa muda umefika wakamate nchi kabisa ndio wakaanzisha chama cha siasa cha Chadema ili wakamate dola kabisa

Magufuli alibomoa ndoto zote ndio wakaanza vita ohh Magufuli anajenga dola ya wasukuma au sukuma gang!!! Wakasahau kuwa na wao walikuwa wanajenga dola ya kichaga yaani mchaga gang!! Magufuli kaja kupiga bulldozer kuwa kama nyie wachaga mnajua kuendekeza ukabila makabila mengine pia yaweza mtakoma
Wachaga sasa soko limewaingia sasa hivi wameelewa ukabila mbaya wakati walikuwa nakuona mzuri walipokuwa waki practice wao
At least sasa twaweza kukaa vizuri bila kabila moja kuendekeza ukabila.Asante marehemu Magufuli kuwaelewesha wachaga kuwa ukabila haulipi in the long run time.In short term waweza kuonekana walipa lakini mbeleni giza.
 
Hata wasukuma ndugu zake na marehmlemu wanakiri hili la ndugu yao kuwa mbaguzi wa baadhi ya maeneo. Pale Chato alikata watu masikio kisa walikuwa chama tofauti. Huu ubaguzi ni hatari sana.
Labda Mbeya huko sawa! Ila ajue kabisa akiendelea na maneno haya atajipotezea umaarufu!
 
Yaani hawa

Huyu mzee inabidi awe na breki kwenye kivywa chale yeye mbona wabunge wa Viti maalum aliteua wote kutoka huko kwao hata kama wako mikoatofauti! Mfano Pendo kutoka geita na yule mtangazaji wa zamani wa ITV kutoka morogoro!
Hata Dar aliteuliwa Suzan Lyimo!! Singida mchaga Jesca Kishoa mchaga list ndefu mno

Ukienda wafanyakazi walioajiriwa Chadema kuanzia madereva huko ni balaa wenyewe watupu
 
Arusha na Kilimanjaro kuwa ngome ya Chadema kuliwafanya wanyooshwe, yule jamaa alikuwa akipenda watu wanaomsujudia wakati wote na wale walioonesha upinzani kwake alikuwa tayari kuwanyoosha kwa njia yoyote.

Sabaya in particular na lile genge lake haramu, huyu aliachiwa uhuru wa kuwanyoosha wapinzani waliokuwa na misimamo, sidhani kama mikoa mingine nayo ilikuwa na "Sabaya" wao zaidi ya Kilimanjaro na Arusha.
Siyo Kilimanjaro na Arusha tu,uliza mkoa wa mbeya na walimzomea wakati wa kampeni,basi tu.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
anatetea ugali
 
Back
Top Bottom