Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

Mara ya mwisho hata kuchomwa na sindano ya kushonea vishikizo tu ilikuwa lini?Atasema mtu yule kiatu kimbanacho.Sijui unaelewa?
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
 
Mnyekiti angepumzika kodogo... Atafakari upya... Hivi CDM hawauoni kijifursa cha ccm kulumbana huko mbele na wao kuvuna ? ...bando atasema tuchanjwe Kwa lzm!?
 
Yaani hawa

Huyu mzee inabidi awe na breki kwenye kivywa chale yeye mbona wabunge wa Viti maalum aliteua wote kutoka huko kwao hata kama wako mikoatofauti! Mfano Pendo kutoka geita na yule mtangazaji wa zamani wa ITV kutoka morogoro!
Mwanzoni niulikuaga shabiki mkubwa sana wa CDM.

Basi, 2015 nikkaenda Mikumi Morogoro ulikuwa wakati wa Uchaguzi.

Mgombea Ubunge kupitia CDM Mikumi alikuwa Prof Jay.

Aisee, Wanawake wa Morogoro walipambana sana.

Nakumbuka CDM hakuwahi kuwa na mbunge Morogoro kabla ila ilifanikiwa kupata wabunge 3 wa kuchaguliwa.

Cha kushangaza, viti maalum anayewakilisha Morogoro akateuliwa mchagga JOYCE MINJA aliyekuwa Ni Ripota wa ITV kutokea Morogoro.

Hapo ndio nikagundua hivi vitu vina wenyewe asee.

Wengine mtaishia KUTUMIKA tu.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Hapa SIKUBALIANI na wewe sambulugu. Magufuli alitaka kuharibu umoja wa Taifa letu kwa kuwagawa watu kiitikadi na kikabila. Alidiriki kusema kwenye mikutano kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge WAPINZANI.

Magufuli alikandamiza demokrasia, aliminya uhuru wa maoni na vyombo huru vya habari. Magufuli aliitisha Mahakama na kuliongoza Bunge kwa remote control. Magufuli alikuwa anateka, anaua, ananya g'anya fedha za wafanyabiashara.

Ameiba uchaguzi wa S/Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi wa 2020 na kuweka wabunge anaowataka yeye ili wangekuwa kubadilisha Katiba kumruhusu kutawala Milele baada ya 2025, ila tushukuru sana Mungu kafanya yake mwaka Jana March 17.

Kwa maana hiyo LAZIMA tupaze sauti zifike mbali dhidi ya uhayawani na ufedhuli wote wa Magufuli mpaka Dunia ielewe kuwa tulikuwa tunatawaliwa na shetani.
 
Mwanzoni niulikuaga shabiki mkubwa sana wa CDM.

Basi, 2015 nikkaenda Mikumi Morogoro ulikuwa wakati wa Uchaguzi.

Mgombea Ubunge kupitia CDM Mikumi alikuwa Prof Jay.

Aisee, Wanawake wa Morogoro walipambana sana.

Nakumbuka CDM hakuwahi kuwa na mbunge Morogoro kabla ila ilifanikiwa kupata wabunge 3 wa kuchaguliwa.

Cha kushangaza, viti maalum anayewakilisha Morogoro akateuliwa mchagga JOYCE MINJA aliyekuwa Ni Ripota wa ITV kutokea Morogoro.

Hapo ndio nikagundua hivi vitu vina wenyewe asee.

Wengine mtaishia KUTUMIKA tu.
Wewe wana ukabila acha

Chadema Zanzibar waliweka mbunge viti maalumu mchaga hebu fikiria Zanzibar ambako Chadema hata mjumbe wa nyumba Kumi hawana mbunge viti maalumu wakaweka mchaga
 
Hili ni kosa kabisa inapaswa achukuliwe hatua
Hii ni kuigombanisha Serikali na wananchi wake
Hawa wanasiasa wa aina hii wamekosa hoja wanatengeneza chuki ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa
Kuwafanya watu wa Kilimanjaro ni first class dhidi ya watanzania wengine
Ni hatari kwa Taifa
 
Mwanzoni niulikuaga shabiki mkubwa sana wa CDM.

Basi, 2015 nikkaenda Mikumi Morogoro ulikuwa wakati wa Uchaguzi.

Mgombea Ubunge kupitia CDM Mikumi alikuwa Prof Jay.

Aisee, Wanawake wa Morogoro walipambana sana.

Nakumbuka CDM hakuwahi kuwa na mbunge Morogoro kabla ila ilifanikiwa kupata wabunge 3 wa kuchaguliwa.

Cha kushangaza, viti maalum anayewakilisha Morogoro akateuliwa mchagga JOYCE MINJA aliyekuwa Ni Ripota wa ITV kutokea Morogoro.

Hapo ndio nikagundua hivi vitu vina wenyewe asee.

Wengine mtaishia KUTUMIKA tu.

..mbona Ccm Kilombero imemsimamisha Aseri mwenye asili ya Uchagani?

..joyce minja amezaliwa na kukulia morogoro sasa ulitaka agombee wapi?
 
Sasa Mbowe kuonge
Hapa SIKUBALIANI na wewe sambulugu. Magufuli alitaka kuharibu umoja wa Taifa letu kwa kuwagawa watu kiitikadi na kikabila. Alidiriki kusema kwenye mikutano kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge WAPINZANI.

Magufuli alikandamiza demokrasia, aliminya uhuru wa maoni na vyombo huru vya habari. Magufuli aliitisha Mahakama na kuliongoza Bunge kwa remote control. Magufuli alikuwa anateka, anaua, ananya g'anya fedha za wafanyabiashara.

Ameiba uchaguzi wa S/Mitaa wa 2019, akaiba uchaguzi wa 2020 na kuweka wabunge anaowataka yeye ili wangekuwa kubadilisha Katiba kumruhusu kutawala Milele baada ya 2025, ila tushukuru sana Mungu kafanya yake mwaka Jana March 17.

Kwa maana hiyo LAZIMA tupaze sauti zifike mbali dhidi ya uhayawani na ufedhuli wote wa Magufuli mpaka Dunia ielewe kuwa tulikuwa tunatawaliwa na shetani.
kuongea hivo anamkomesha Magufuli au anachochea chuki? Nyinyi wachaga ndo wakabila sana! Mpaka leo hata mama wa hapo arusha maeneo ya usariver alikuwa na shule ilipoonekana si Mwenyekiti wa hapo arusha vurugu ikaanza mpaka akaamua kuhamishia shule yake kwao MWANZA!
 
..mbona Ccm Kilombero imemsimamisha Aseri mwenye asili ya Uchagani?

..joyce minja amezaliwa na kukulia morogoro sasa ulitaka agombee wapi?
Sawa, na Zanzibar mwakilishi viti maalum alikuwa Nani?
 
Sawa, na Zanzibar mwakilishi viti maalum alikuwa Nani?
Sawa Hata huyo Upendo Peneza Msuya wa geita naye kwa kuwa kazaliwa geita ila Mwenyekiti asili ya kaskazini, akateuliwa kuwa mbunge Viti maalum!
 
Sawa Hata huyo Upendo Peneza Msuya wa geita naye kwa kuwa kazaliwa geita ila Mwenyekiti asili ya kaskazini, akateuliwa kuwa mbunge Viti maalum!
Mariam Salum Msabaha mzaliwa wa kilimanjaro alikuwaje mbunge viti maalumu Zanzibar kupitia Chadema?
 
Arusha na Kilimanjaro kuwa ngome ya Chadema kuliwafanya wanyooshwe, yule jamaa alikuwa akipenda watu wanaomsujudia wakati wote na wale walioonesha upinzani kwake alikuwa tayari kuwanyoosha kwa njia yoyote.

Sabaya in particular na lile genge lake haramu, huyu aliachiwa uhuru wa kuwanyoosha wapinzani waliokuwa na misimamo, sidhani kama mikoa mingine nayo ilikuwa na "Sabaya" wao zaidi ya Kilimanjaro na Arusha.
Nyumbu ktk ubora wako
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Kutoa yaliyoko moyoni kunaponya. Acha auseme ukweli apone.
 
Sawa, na Zanzibar mwakilishi viti maalum alikuwa Nani?

..Zanzibar wakati wa Karume waliwahi kuwa na mkuu wa polisi [ edington kissasi] ana asili ya Uchagani. Je, hiyo nayo utasema ni ukabila?

..Kukusaidia tu, Wachaga ni kati ya makabila ya kwanza kutoka ktk maeneo yao ya asili na kusambaa Tanzania nzima kutafuta fursa.

..Sijui kama unamkumbuka Waziri mmoja mwanamama akiitwa Shamsa Selengia Mwangunga. Yule mama asili yake ni Uchagani, wazazi wake walilowea Dodoma na siasa alikuwa akifanyia huko.

..Mtanzania kama huyo unaweza vipi kumbagua asishiriki siasa ktk eneo alilokulia? Na ukimbagua kwenye siasa utaishia hapo au utambagua ktk fursa nyingine?

..Mwisho, Wachaga hawachagui mahali pa kuishi. Wachaga hawajitengi. Pia ni wameoleana na jamii nyingi hapa nchini. Huo ndio UTANZANIA.
 
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Amesema kweli.. Ccm waombe radhi
 
Back
Top Bottom