Wahaya kibao wako NASA Marekani kibao itakuwa na huyo Askari mdogo jeshi la marekan
Kim poulsen anacheza timu ya taifa ya nje ni mdigoHapo umeoneshwa tu jinsi wachaga walivyosambaa ulimwenguni, hajasema yupi ana nafasi nzuri zaidi ya mwingine, mmetawaliwa na wivu na chuki ya kishamba sana.
Bado wadigo wana bondia mkubwa africa hawana kelele kimya
Nenda kigoma ukaone kila sekta wapo wapo kimya mpaka leo huyo mengi akafall on love na k lyin wa kigoma kaacha wachga wenzie
Tatizo nyie washamba ila wanawake wa kichaga wengi wanajishtukia kama hajaolewa utasikia wananikataa kisa mm mchaga hapo kweny ndoa kabila limekujaje 🤣🤣🤣