Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho


Hapo usifikiri anayesema wanalipwa mihela anachukizwa na ulafi, bali anawaonea wivu na gele wenzie. Tanzania hakuna mtu anayechukia ulafi, badala yake wanaonea wivu.
 
Acha ujinga basi. Kwa hiyo wewe wabunge wanapojirundikia mishahara minene huku wananchi wakifa njaa kwa umasikini wewe unaaona sawa tu?
Wewe mpumbavu siungi mkono hata kuwa na bunge kabisa kwasababu kwa nyakati hizi za digitali unaweza kujua changamoto iliyopo Tandahimba ukiwa zako Nyamagana. Na kama hoja ni kutunga sheria ni kuwa hakuna mbunge anayetunga sheria.. mtu aliyemaliza darasa la 7 anatunga sheria kivipi? NILICHOPINGA ni huo UNAFIKI wa mwenyekiti wa nyumbu kujifanya ana uchungu na mishahara ya wabunge wakati kipindi yuko bungeni hakuwahi kukataa kuongezewa mshahara. Kina Lema ndo hao huchukua mikopo ya mabilioni kupitia mshahara wa bunge. SIKU NYINGINE TUMIA AKILI KABLA YA KUNIPINGA KIPUUZI.
 
Naunga mkono Serikali kuongezea watumishi mishahara wamekaa miaka sita bila nyongeza, wasiishie kwa wabunge tu watumishi wote wakumbukwe wamekaa muda bila nyongeza wala kupanda madaraja.
 
Hivi walivyojiongezea mpaka hio 10 walitwambia wapi ? Kwahio upuuzi huu sio mpya ni muendelezo wa tu upigaji
 
Nazani umeona wabunge wa uingereza walivyonamsimamo hata kama ni kama ni kiongozi wa Chama ukienda tofauti na malengo wanaacha kukuunga mkono sababu ya shinikizo kutoka kwa wananchi wao viongozi wanaamua kujiuzuru
Washafika hatua ya juu ya ustaarabu ila kwetu kuwajibishana tu nitatizo ndio tunavuna tulichopanda
 
Ni kwa sababu ya mfumuko wa bei lazima mshahara uongezeke๐Ÿผ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ