Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Dalali huyo....Kabisa mkuu hajui kuwa UKIONA VYAELEA VIMEUNDWA.
Tena dalali wa viwanja kule mpigi magohe. Hafai kusikilizwa hata kidogo.Mbowe anatumikia maslahi ya nani ?!!!
DP WORLD walipata CHANGAMOTO ya uwekezaji hapo Msumbiji....kwa hoja hizihizi za akina Mbowe.....hebu unganisha "dots" utambue kuwa Mbowe ni dalali.....
Je dalali wa mashirika gani ya nchi zipi ?!!![emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji2956]one thing we should know is that, Tanzania is a sovereign country, its not a personal company of a particular persons. so everything that we do should treat it as a country not a personal property.
[emoji106]Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?
Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika
Naomba mumeo kama kauelewa anieleweshe na mimiUjinga uko kichwani mwako kwa kutotaka kuelewa uzuri wa mkataba huu...
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutumaWazee wa siasa za matukio tena....
Hawana ajenda ya maana...wamekaa kama "fisi"....
Tukisema CHADEMA ni SACCOS tunamaanisha.....wako kwa ajili ya RUZUKU...wanachama wao wa kawaida hawalijui masikini ya mungu.....
Ushahidi ni hizi BILIONI 2....
Muulize yeyote aliyefanya kazi na Mbowe pale ufipa atakupa ushahidi wa "madudu " yake mengi......
UKIKAA KWENYE NYUMBA YA VIOO USIUTAKE UGOMVI WA MAWE
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena dalali wa viwanja kule mpigi magohe. Hafai kusikilizwa hata kidogo.
Acha umalaya mkuu....Naomba mumeo kama kauelewa anieleweshe na mimi
Kuna vijana wawili makini wa kupush agenda kama hizi ili na wao waingizwe kweny payroll, wanaomba connection tafadhali!!Mbowe ANATUMIKA maslahi ya nani ?!!!
Katika uwekezaji wa ARAB CONTRACTORS...walikwenda kuongea na chama rafiki cha ujerumani "CDU"....chama kikalobby bunge lao "bundestag" waishinikize serikali ya Tanzania ijitoe katika ujenzi wa BWAWA LA UMEME mwalimu Nyerere kwa hoja kuwa Tanzania inaharibu mazingira....
Tanzania "think tankers" wakawaridhisha UNESCO kuwa tutatumia tu 3% ya eneo lile...97% intacts....[emoji1787][emoji1787]
Wajerumani CDU wakapiga mwereka chini.......
Ilikuja kufahamika kuwa "hawataki" Tanzania iwe na umeme wa uhakiki ...watauza wapi MAJENERETA yao ?!!!!
Si hilo tu ,ikaja kufahamika kuwa "wakoloni wetu" wanaogopeshwa na kasi ya JPM kutia nia ya ujenzi wa viwanda kwa kuanzia vidogo....
Katika hili la uwekezaji wa DP WORLD nyuma yake kuna kitisho gani cha maslahi ya "wenye maguvu" DUNIANI?!!!
Je ni mashirika ya wachina?!!!
Je misuguano ya EU na Marekani katika biashara imeamkia dhidi ya uwekezaji huu wa DP WORLD?!!!!
MBOWE ANAWATUMIKIA AKINA NANI?!!!
Kama anaweza "kukunja" bilioni 2 za ruzuku atashindwaje kuwa dalali wa kupokea "maEURO"?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Basi kaa utulie dada angu, haya maswala ya kiume huyaweziAcha umalaya mkuu....
Umalaya huo.....
Unataka uparamie waume za watu ?!!!
Mmezoea umalaya na ndio maana mnapenda siasa za matukio....wenzetu wajenge nyie mtumie tu....
Mume wangu ameambiwa kuwa wewe ni mwanamke Malaya wa kimboka...matundu wazi....
Wewe kweli "falure" Kama Mbowe....[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uwezo ni nao...Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutuma
CCM imejaa vijana makini....Kuna vijana wawili makini wa kupush agenda kama hizi ili na wao waingizwe kweny payroll, wanaomba connection tafadhali!!
Ujinga huo....Basi kaa utulie dada angu, haya maswala ya kiume huyawezi
Aibu kubwa snKuna vijana wawili makini wa kupush agenda kama hizi ili na wao waingizwe kweny payroll, wanaomba connection tafadhali!!
Jamaa ni mjinga sana aiseeWeka ushahidi , halafu siku nyingine jitahidi kujikita kwenye mada husika
Hata vitabu vitakatifu vinasema hivyo basi pingana na MUNGU wewe dada anguUjinga huo....
Acha kuwadhalilisha wanawake....uko dunia gani isoyoamini uwezo wa kiakili wa wanawake?!!![emoji3][emoji3][emoji1787]
Kumbe ndio maana MBOWE ANAMPINGA MH.RAIS SSH....
Misogynistic
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ninyi mna nini ninyi....Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutuma
Mirembe imejaa....wengine mmetorokea JF..Hata vitabu vitakatifu vinasema hivyo basi pingana na MUNGU wewe dada angu