Bongoyo kunatembelewa sana watu wanaopenda ukimya,ukiwa slipway ijumaa,jumamosi,jumapiliWanasemaga tu hivyo ila hakuna cha nyoka wala nini wana sababu zao tu nyingine, eti wakakipa kabisa na nickname snake island ili kutisha watu na vile watu wakikiona kilivyosheheni vichaka wanajua kweli kuna mijoka, halafu sijui kwanini bongoyo hakitembelewi sana kama mbudya ilihali ndio kina ufukwe mzuri zaidi kuliko mbudya
Shida yenu Waha ni ubishiweka picha ya mzimu mmoja ulio wai kuuona
Wewe ni Mufti kuku The Infinity ulifuata nini huko wakati kule kunakuwa na mademu wakali na tunapata vilaji vya uhakika vitu ambavyo wewe kwa dini yako havikufai, majini wote wako Coco Beach na sehemu zinginezo zisizofaa kwa jamii.Nishaenda huko na nikaogelea pia.
Ambao hamjaenda poleni sana.
Huyu hapa alikuwa anachungulia Waha wenzake (kina Baba Levo) wakijichua.weka picha ya mzimu mmoja ulio wai kuuona
Nishafika zaidi ya mara 3 Mkuu, na sio mbudya tu hata bongoyo nishafikaUnapajua hata picha moja huna
ukweli huumawe nae ni kambea! Kamdomo
Mkuu nadhani ni shingimbiliKingine kinaitwa shungumbili Mafia huko, kuna hotel nzuri sana ya Wasauzi, nilienda kwenye uzinduzi mwaka 2016
🤣 Nilienda kabla ya hivyo ulivyovitaja havijafikaWewe ni Mufti kuku The Infinity ulifuata nini huko wakati kule kunakuwa na mademu wakali na tunapata vilaji vya uhakika vitu ambavyo wewe kwa dini yako havikufai, majini wote wako Coco Beach na sehemu zinginezo zisizofaa kwa jamii.
aiseee😂😂Huyu hapa alikuwa anachungulia Waha wenzake (kina Baba Levo) wakijichua.
View attachment 3225602
No. Ni ShungumbiliMkuu nadhani ni shingimbili
Bangi mbaya sanaHiki kisiwa kipo underrated sana!
Wengi wetu hatukijui kabisa!
Tupate kidogo picha za kisiwa hiki. ili safari ijayo ukitaka kusafiri kupumzisha akili usikisahau
Ahaa sawaNo. Ni Shungumbili
Hakuna la maana hukoHiki kisiwa kipo underrated sana!
Wengi wetu hatukijui kabisa!
Tupate kidogo picha za kisiwa hiki. ili safari ijayo ukitaka kusafiri kupumzisha akili usikisahau
ndo nanPancho Latino alifia huko