Mbudya Island!! Kisiwa kisichojulikana’ Bahari ya Hindi

Mbudya Island!! Kisiwa kisichojulikana’ Bahari ya Hindi

Wanasemaga tu hivyo ila hakuna cha nyoka wala nini wana sababu zao tu nyingine, eti wakakipa kabisa na nickname snake island ili kutisha watu na vile watu wakikiona kilivyosheheni vichaka wanajua kweli kuna mijoka, halafu sijui kwanini bongoyo hakitembelewi sana kama mbudya ilihali ndio kina ufukwe mzuri zaidi kuliko mbudya
Bongoyo kunatembelewa sana watu wanaopenda ukimya,ukiwa slipway ijumaa,jumamosi,jumapili
Watu wengi wanakwenda ila watu wTuluvu
Bongoyo chenyewe kuna sehemu wako kenge wengi tu na majoka

Ova
 
weka picha ya mzimu mmoja ulio wai kuuona
Huyu hapa alikuwa anachungulia Waha wenzake (kina Baba Levo) wakijichua.
1738719675031.png
 
shhhhhh! sasa unataka kijulikane ili iweje? unataka watu wafurike huko na kukiharibu? kaa kimya waache wasikijue …
 
Angalizo: Ukienda Mbudya kama wewe kuogelea kwako kwa wasiwasi (Yaani sio hodari/hujakulia maji) usiende maji marefu/kimiani.
Pana mkondo bahari pale, maji yake nungwi/yanapinda pinda na yana mwendo, inakubidi uwe hodari na jabari kuzamia kimiani mitaa ile.

Nakazia: Kama huyajui maji vyema, Mbudya usijitie ujuaji, oga ufukweni, cheza mchangani, sogea maji ya kifua vaa uende.
 
Back
Top Bottom