Mbunge alazimishwa Kunywa Maji machafu na Wananchi wake

Mbunge alazimishwa Kunywa Maji machafu na Wananchi wake

Tafadhali naomba kujua hawa Wananchi wa hilo Jimbo wangependa GENTAMYCINE niwape Zawadi gani kwa Kunifurahisha hivi?

Na Mimi sasa najiandaa kuanzisha Kampeni ya chini chini na Wananchi wa Jimbo langu ili Mbunge Wetu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) japo ni Mtumishi wa Mola ( Maulana ) nae akija Jimboni Kwetu tunuokoteshe Takataka Ngumu zilizojazana Mitaani Kwetu na atuambie kwanini hadi leo hajatupeleka Japan na Australia kujifunza Uvuvi wa Samaki wa Kisasa.

Kwa wale mnaotaka Kusoma hii Taarifa ya Mbunge aliyelazimishwa kunywa Maji Machafu na Wananchi wake katafuteni Nakala ya Gazeti pendwa la JAMVI LA HABARI la Leo ( tarehe 5 August, 2023 ) ipo katika Ukurasa wa Nne ( 4 )

Kudos sana Kwenu nyie Wananchi!!!
Na tuliahidiwa tutafunguliwa chuo cha uvuvi ...... dah.... samaleku mbunge wetu wa mchongo
 
Na tuliahidiwa tutafunguliwa chuo cha uvuvi ...... dah.... samaleku mbunge wetu wa mchongo
Juzi nilimuona Mbezi Beach hii ya huku Mtaa wa Maguruwe mita chache na Nyumba aishiyo Msanii wenu Rayvanny na nikashangaa kumuona Kapungua / Kakonda vipi Gridi ya Taifa imeanza Kusoma Mita namba Kwake?
 
KATAVI: Wananchi wa Mitaa ya Milupwa na Mtemibeda Wilaya ya Mpanda wamemlazimisha Mbunge wao, Sebastian Kapufi (CCM), kunywa Maji Machafu ili kumuonesha hali halisi wanayopitia kwa kukosa Huduma ya Maji Safi na Salama

Wananchi walisikika wakilalamika mbele ya Mbunge na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi, Rehema Nelson "Tumekuja nayo makusudi ili anywe atusaidie kuisimamia Serikali itatue changamoto hii,"
 
Yeah I'm so much proud being a Pressman , Communication Expert and Critical Thinker from my lovely Varsity Saint Augustine Mwanza.
Siku tuandikie hebari kwa hati mkato, habari ya siri, [emoji16],
 
Back
Top Bottom