Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kama ni mimba ya mahaba,ni kweli,mahaba anayonipa dadaako sijapata popote aiseeeYa Wewe Kutundikwa Mimba nyingine?
Ni mtamu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mimba ya mahaba,ni kweli,mahaba anayonipa dadaako sijapata popote aiseeeYa Wewe Kutundikwa Mimba nyingine?
Na tuliahidiwa tutafunguliwa chuo cha uvuvi ...... dah.... samaleku mbunge wetu wa mchongoTafadhali naomba kujua hawa Wananchi wa hilo Jimbo wangependa GENTAMYCINE niwape Zawadi gani kwa Kunifurahisha hivi?
Na Mimi sasa najiandaa kuanzisha Kampeni ya chini chini na Wananchi wa Jimbo langu ili Mbunge Wetu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) japo ni Mtumishi wa Mola ( Maulana ) nae akija Jimboni Kwetu tunuokoteshe Takataka Ngumu zilizojazana Mitaani Kwetu na atuambie kwanini hadi leo hajatupeleka Japan na Australia kujifunza Uvuvi wa Samaki wa Kisasa.
Kwa wale mnaotaka Kusoma hii Taarifa ya Mbunge aliyelazimishwa kunywa Maji Machafu na Wananchi wake katafuteni Nakala ya Gazeti pendwa la JAMVI LA HABARI la Leo ( tarehe 5 August, 2023 ) ipo katika Ukurasa wa Nne ( 4 )
Kudos sana Kwenu nyie Wananchi!!!
Juzi nilimuona Mbezi Beach hii ya huku Mtaa wa Maguruwe mita chache na Nyumba aishiyo Msanii wenu Rayvanny na nikashangaa kumuona Kapungua / Kakonda vipi Gridi ya Taifa imeanza Kusoma Mita namba Kwake?Na tuliahidiwa tutafunguliwa chuo cha uvuvi ...... dah.... samaleku mbunge wetu wa mchongo
Afadhali tumefahamiana CC Joannah (unaona nilivyo serengeti boy)Umemalizia pale Kwata shule ya msingi 2005, nakufahamu
Miaka 12 na nusu mimi🤣🤣🤣🤣🤣dah Muha kumbe we ni king'asti hivyo na hausemii
🤣🤣🤣🤣Dah duniaMiaka 12 na nusu mimi
Siku tuandikie hebari kwa hati mkato, habari ya siri, [emoji16],Yeah I'm so much proud being a Pressman , Communication Expert and Critical Thinker from my lovely Varsity Saint Augustine Mwanza.