Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Mimba ya Mnamibia nayo iliishia wapi?

Kwa hiyo ndio kumaansisha bado anawachezeza dana dana wanaume kiunoni mwake kwa...duh

Haya mwili wako, ila acha tu kumtaja taja Naseeb aka Baba Tiffah aka Mume wa Zari.
 
Huyo msukuma sababu ana pesa ndio anasakiziwa au?

Juzi juzi alimrusha Mnamibia kuwa mimba yake wanategemea mtoto sasa imekuwa ya nani.

Maisha haya danadana tu
 
wemaaaa umenasa mimba huu utan mtu anamiaka 32 ndio anapata mimba ya kwanza sipatii picha mbwa ataishi vp
 
Mimba ya Mnamibia nayo iliishia wapi?

Kwa hiyo ndio kumaansisha bado anawachezeza dana dana wanaume kiunoni mwake kwa...duh

Haya mwili wako, ila acha tu kumtaja taja Naseeb aka Baba Tiffah aka Mume wa Zari.
Hivi huyu ni mume wa Zari au hawara? au mimi ndio sijui tafsiri ya mume?
 
Hivi huyu ni mume wa Zari au hawara? au mimi ndio sijui tafsiri ya mume?

Na kwanini unamuita hawara(hata ukiweka maana ya neno hili unaona haliendani nao) kwani Diamond ana wake na anaibia kwa Zari?

Kingine hata kwenye nyimbo kasema mumeo.

Kwa tafsiri yako basi hata walio bf na gf tu wataitama hawara.

Ndio habari hiyo mume na mke hao....labda mnataka kuona harusi picha kitandaoni wakiwaalika kuangalia
 
Kwa wema alivyokuwa mbishi kuzaa, jamaa sijui alitumia mbegu gani mpaka ametunga umimber kwa wema...mhhh!!
 
Back
Top Bottom