Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vibaka wa mwendawazimu mwendazake wanakera sana
Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa
Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.
Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.
Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.
View attachment 2903710
...Yaani na Wanaume wavae mvao wa Mama Samia ulio Vazi la Taifa ?Eee! Mungu hili Taifa tumekukosea nini.
Kwamba tunaviongozi wapumbavu kiasi hichi watu hatuna umeme yapayapo yanachekena kama mzuzu tu hapo bungeni.
Aisee. Unaweza kuongea ukaonekana hufai kumbe.
Ni kweli, linatosha kabisa kabisa
Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa
Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.
Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.
Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.
View attachment 2903710
Nyimbo za Kusifu na Kuabudu..
Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa
Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.
Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.
Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.
View attachment 2903710
treat them as they are.......................tuwasaidie wajitambueKama raia wamekaa kikondoo na wanajadili Simba na Yanga sasa watu wanataka wanategemea nini? Utavuna ulichopanda. Nchi haiwezi kuwa raia wajinga wajinga halafu viongozi waache kujadili ujinga ujinga.
Eee! Mungu hili Taifa tumekukosea nini.
Kwamba tunaviongozi wapumbavu kiasi hichi watu hatuna umeme yapayapo yanachekena kama mzuzu tu hapo bungeni.
Aisee. Unaweza kuongea ukaonekana hufai kumbe.
Asee hii nchi imeoza kila kituEee! Mungu hili Taifa tumekukosea nini.
Kwamba tunaviongozi wapumbavu kiasi hichi watu hatuna umeme yapayapo yanachekena kama mzuzu tu hapo bungeni.
Aisee. Unaweza kuongea ukaonekana hufai kumbe.
Kama raia wamekaa kikondoo na wanajadili Simba na Yanga sasa watu wanataka wanategemea nini? Utavuna ulichopanda. Nchi haiwezi kuwa raia wajinga wajinga halafu viongozi waache kujadili ujinga ujinga.
Kabisa yaani mbunge mjinga vazi la Taifa wanavaa Wanawake na wanaune Kwa hiyo na wanaume watavaa kama anavyovaa mama Samia?Hii ni nchi, ila tunatawaliwa na Zero Brain Leaders.