Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

Hii ndio naita out of touch....; Watu hawana umeme mnaletumia muda kuzungumzia vazi la taifa (kwani tupo uchi) ?

Mbili Samia ana Vazi ?!!! (Alibuni Wapi)?

Tatu bila umeme hata hilo vazi tutalipigaje pasi ?!!!
 
Kama ana mume na watoto nawapa pole sana kwa sababu kuwa na mke na mzazi mpumbavu ni aibu kubwa.
 
Daah hawa wabunge kiboko bors mawazo ya wabunge wa Tanzania wangekua wanayachukua kwenye shule zinazozunguka maeneo ya wabunge sio hawa watu hamna kitu wanajua hawa jamaa zetu ndio maana unaona wanabaki kujisifia wachumi daraja la kwanza kila kukicha hakuna cha maana kinachofanyika zaidi ya kuongeza Tozo tuu..
Mule wamejaa tktk tupu

Ova
 

Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.

Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.

Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.

View attachment 2903710
hawa chawa wa sasa wamekuwa chotara yaani uzao wa kunguni na chawa hawatuachi salama tusipokuwa makini!
 
Viti malumu vifutwe hawana umuhimu wowote mjengoni.

Kuna wabunge mwakani lazima warudi mjengoni
Heche, Mnyika, Nasari, Zitto, Sugu, Mbowe, Msigwa nk
 

Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.

Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.

Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.

View attachment 2903710


Uchaguzi umekaribia kweli
 

Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu.

Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo.

Amesema katika kulitafuta vazi la Taifa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kuhakikisha linapatikana vazi lenye stara, ustaarabu, heshima, linaloonesha unadhifu na linaloweza kuvaliwa na yeyote.

Kwa hiyo wanaume nao wajivike kama Samia
 
Back
Top Bottom