Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Msambatavangu toka akiwa shoga na Bahati Bukuku wakiwa wanendesha matamasha ya gospel pale Ruco[chuo cha NBC Bank ambacho wakatoliki walipewa na Mkapa] na Highland Hall pale Iringa?
Tumsitiri tu, nakuombeni.
Basi Sawa mkuu
 
Wabunge wanaume wanamkimbia kwa kuogopa gharama za hela ya sabuni.
 
Namheshimu sana mwanamke mwenzangu huyu lakini sasa ,
Ni posho mill?
mna majibu alafu mnakuja kututega ili mseme Jaji Mfawidhi ndio kasema.
 
Namheshimu sana mwana'mke mwenzangu huyu lakini sasa , kama akiwa na haja zake anakutana na vijana wa Iringa wanywa ulanzi kweli atafikishwa?

Si ndio anajitokeza na kulalamika as if wote hawa-wafikishi?
 
Huma mama ahamie Dar tu maana masuala ya hamu hayamuishi katu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…