Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kamuoe MsambatavanguNjoo nikuoe wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuoe MsambatavanguNjoo nikuoe wewe
Duuuh yanakutoka manenoNani aoe nungayembe hilo lililokwishafutwa kodi.
Wamekufanya nini?Huwa Kuna mahali nawakumbuka sana Wagner group na Putin sijui kwanini.
We ni kuwadi wake?Kamuoe Msambatavangu
Msambatavangu toka akiwa shoga na Bahati Bukuku wakiwa wanendesha matamasha ya gospel pale Ruco[chuo cha NBC Bank ambacho wakatoliki walipewa na Mkapa] na Highland Hall pale Iringa? Hee, Tum'sitiri tu, nakuombeni.Matendo gani? Umeficha kapuni
Ni posho mill?Msambatavangu toka akiwa shoga na Bahati Bukuku wakiwa wanendesha matamasha ya gospel pale Ruco[chuo cha NBC Bank ambacho wakatoliki walipewa na Mkapa] na Highland Hall pale Iringa?
Tumsitiri tu, nakuombeni.
Sasa imekuaje wanasema hajaolewa ikiwa mumewe wanamjua?Mme wake ni mh Luvanda 🐼
Basi Sawa mkuuMsambatavangu toka akiwa shoga na Bahati Bukuku wakiwa wanendesha matamasha ya gospel pale Ruco[chuo cha NBC Bank ambacho wakatoliki walipewa na Mkapa] na Highland Hall pale Iringa?
Tumsitiri tu, nakuombeni.
Wabunge wanaume wanamkimbia kwa kuogopa gharama za hela ya sabuni.Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Sijawahi kua kuwadi mkuuWe ni kuwadi wake?
Sijaelewa umesemaje?Ni posho mill?
Namheshimu sana mwanamke mwenzangu huyu lakini sasa ,Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
mna majibu alafu mnakuja kututega ili mseme Jaji Mfawidhi ndio kasema.Ni posho mill?
Sasa kwanini uniambie nikamuoe kama wewe siyo kuwadi wakeSijawahi kua kuwadi mkuu
Namheshimu sana mwana'mke mwenzangu huyu lakini sasa , kama akiwa na haja zake anakutana na vijana wa Iringa wanywa ulanzi kweli atafikishwa?Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Nimekukoti wewe Au na wewe ni nafaka yake?Sijaelewa umesemaje?
Za Mpina kuna kichwa cha kujadili pale?Mada pendwa bungeni hapo
Hoja za mpina hawazitaki
Ova
Huma mama ahamie Dar tu maana masuala ya hamu hayamuishi katuMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
kina Haji Manara hawchi fursa, so long apate uhakika wa kulipiwa appartment.Huma mama ahamie Dar tu maana masuala ya hamu hayamuishi katina