Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Huyu si alishawahi laumu vijana kwa nini hawaoi?
 
Wanaacha kujadili masuala ya mfumuko wa Bei za bidhaa mtaani ili kumpunguzia Mwananchi ukali wa maisha,wao wanajadili masuala binafsi ya kuoana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Daima bunge la chama kimoja haliwezi kuwa na sifa njema
 
Tangazo la Biashara Hilo kuwa hajaolewa anataka kuolewa

Au wanapisema hajaolewa maana yake Hana sia za mtu aliyeolewa yaani Yuko hovyo tu
Wanawake walioolewa Huwa Wana tabia zao na hulka Fulani za kijiheshimu nk

Yeye Ina maana alivyo mtu akiukiza kaolewa huyu anajibiwa hajaolewa huyu hamna lolote
 
Tom Boy lile. Linawakoboa tu mabinti wa Iringa University pamoja na RUCU hapa Iringa.
 


"Ndiye mbunge pekee aliyehamasisha nguvu za kimue kwa vijana bungeni"


Tanzania ngumu hii, inaitaji mbinu mpya jameni kuimusu
 
"Ndiye mbunge pekee aliyehamasisha nguvu za kimue kwa vijana bungeni"


Tanzania ngumu hii, inaitaji mbinu mpya jameni kuimusu
Mjinga sana kageuza bunge sehemu ya mipasho ya uswahilini mitaani

Kwa kweli ni mzigo .CCM wasilirudishe hilo jinga Kwa kweli.Wawe na huruma na wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…