Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

wanawake wote wanafanana tabia awe mbunge au sio wanapenda sana kunyesha maumbile yao hiyo ndiyo hulka yao !
Namshangaa yule mtangazi wa TBC JARAMBA ana mwili wa Sanamu la michellin laki eti kuna siku studio anavaa skin jeans na wanamruhusu kutangaza ! huwa nashangaa Rioba hajaliona hilo ?
Ni maadili gani tunawafundisha wanaotizama TBC ?
 
Hongera kwa kufika SA. Kwa hiyo nasi tuwe kama wao? Rubbish!
 


Kuna shida kwa kweli. Yaani mtu anasimama anapewa airtime ya kitu kama icho.....ndo shida ya kuchanganya old school and dotcom generation kwenye taasisi kama hizi.
 
Posho zimemzidia anamatani aweke vitu nje!!
 
Haya ni matunda aliyoyaotesha yule mwendazake, mule ndani karibu wote wapo kwa hisani yake na sio hisani ya wenye nchi yao,. Wenye ccm yao wamerudi.
 
Ndo mpeleke bungeni wabunge waliochaguliwa na wananchi, kuliko hawa wanaotokana na uchafuzi mkuu...
 
Mkuu umeongelea SA kuhusu swala la ndoa including za jinsia moja wewe nani kukupa mamlaka ya kuhukumu?mimi nikiamua kuwa guy au lesbian wewe utapungukiwa na nini?bunge letu sheria hizi zimepitwa na wakati kila mtu awe huru kuvaa anachokitaka
Utakuwa Rainbow colour
 
Bunge limegeuzwa kuwa jukwa la nirvana
 
Mwomba mwongozo kaona hiyo ndiyo hoja ya uwakilishi wa wananchi wa Momba?

Hili ndilo ametumwa na wapiga kura wake?
Hapo kawatetea wanyonge wa Momba?

Alikosa namna ya kulimaliza/kumrekebisha nje ya kamera ili kutumia muda huu adhimu kwa manufaa mapana ya taifa.

Tunahangaishwa na yasiyo ya muhimu wakati tukipuuza au kunyamazia ya LAZIMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…