Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Pameibuka tabia ya wabunge wa viti maalumu kuvaa vinyela momo(skin tight) wawapo kwenye vikao vya bunge, hii haikubaliki.

Ukivaa kimnyelala momo basi vaa gauni juu yake ili kulinda heshima na utamaduni wa kitanzania.

Ni angalizo tu.

Picha tafadhali !
 
Hivi hiyo mibichwa yenu huwa inawaza kabla ya kupost? Wewe umeambiwa mbunge aliyetoa hoja ni wa Nyang'wale umekurupuka huko bila kuchamba umeanza na wapemba. Ukiona kofia tuu huwazi mara 2.Pumbavu sana
Huyo mbunge ni wa jimbo LA Nyang'hwale mkoa wa Geita.
 
Kaka siyo huyo mbunge wenu tu, bado kuna huyu pia sijui unasemaje hapo, hii no tabia yao tena imejengeka haswa, utaendaje bungeni namna hii?

 
Nikajua labda shati limebana nyonyo kweli kifua kimetuna, suruali tight hips lote njee nje; kumbe matatizo binafsi tu ya huyo mzee hivi utasemaje yale mavazi hayana maadili.
 
Nikajua labda shati limebana nyonyo kweli kifua kimetuna, suruali tight hips lote njee nje; kumbe matatizo binafsi tu ya huyo mzee hivi utasemaje yale mavazi hayana maadili.
kanuni zinazo ongoza JENGO LA BUNGE ndio zinakataza nguo za kuchora shepu, sio spika wala mbunge aliye sema.

wabunge wetu haswa wanawake wakae wajitathimini, maaana Spika kasema kuna hata kina mama watu wazima wanavaa nguo za disco wanatinga nazo mjengoni.
 
hata hivyo inaonekana kuna baadhi ya wabunge watukutu ama hawatambue lengo lao la kuwa bungeni.
nakumbuka Spika alionya na kutahadharisha siku za mwanzoni tu wakati Bunge linaanza tu. hata mm ambaye sio mbunge nazifahamu kanuni sembuse wao.!
 
Hizo picha ukiziangalia kuna shape yeyote unayoona hapo zaidi ya ngozi yake ya shingo na juu ya kifua kidogo (sehemu ambazo hata mama zetu wanaacha wazi kulingishia mikufu yao).

Labda kama hiyo kanuni inasema nguo za kike ziwe ‘top necks jewel’ only hapo ndio kuna kosa.

Walinzi wa kike wa mama Samia kaunda zao tight kuliko za huyo mmbunge, wanavaa suruali na masharti umbile lote nje nje.
 

Naona sasa wanaume ndiyo tunafuatilia wanawake wamevaa vipi! Sijasikia mwanamke yeyote kaongea🤔 mambo ya kike kufuatilia wanawake
 

Mkuu, kwani hili swala la mavazi hawakua na taarifanalo hapo kabla?
 
Nyie mawazo yenu ngono tu. Hamuwezi ku imagine mtu anaweza kum admire mwanamke alivyopendeza bila kumtaka kingono? Au kuwa mwanamke ana haki na uwezo wa kumkatalia mtu akimtongoza.

Basi wanawake wenu wasiingie kabisa bungeni ili tusiwatamani. Kama vile wakina Taliban walivyokuwa wanafanya. Waficheni tusiwaone kabisa. Wapuuzi wakubwa nyie.

Amandla...
 
Mtu anaejitambua hawezi sapoti huu ujinga. Zindukeni!


Duh! Mwanamme mzima unasapoti ujinga. Wewe ndio baba wa familia unachangia haya!!! Dunia imebadilika mno
 
Hii nchi ni ya kipuuzi sana, Tatizo la huyu dada ni nini? na bado kuna watu wanasapoti huu upuuzi uliofanywa.
 
Mi najaribu ku-zoom hiyo picha lkn wapi? Sioni kitu..kuna picha nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…