Mbunge Deo Sanga: CCM ilishinda Uchaguzi Mkuu kwa kishindo, kura hazikuibwa

Mbunge Deo Sanga: CCM ilishinda Uchaguzi Mkuu kwa kishindo, kura hazikuibwa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga ameliambia Bunge "Nasema kwa uchungu mkubwa, mimi nilishinda kwa kishindo na si kwa kuiba Kura. Wabunge wote hapa wameshinda kwa kishindo sio kwa wizi. Rais alishinda kwa kishindo hakuiba Kura"

Sanga amesema aliyezumgumza maneno hayo anataka kuwagombanisha na Wananchi, akisisitiza CCM inashinda kwasababu Wananchi wanakubali yanayotekelezwa

Ameongeza kuwa kwenye mitandao watu wanasema Rais Samia anaongozwa na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete akihoji, "Hivi ni kweli? Kwani Kikwete hakufanya kazi nzuri kwenye Nchi hii? Tumuache apumzike vizuri kule Msoga"
 
  • Thanks
Reactions: MCN
dude letu hilo. Hakuna wizi wa kura. Wameanza, hahahahaha na Mama kama ana akili huu ndiyo muda wa kumtengua Riziwan, Makamba, Nape kama alivyofanya kwa akina Lukuvi na Kalemani
 
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga ameliambia Bunge "Nasema kwa uchungu mkubwa, mimi nilishinda kwa kishindo na si kwa kuiba Kura. Wabunge wote hapa wameshinda kwa kishindo sio kwa wizi. Rais alishinda kwa kishindo hakuiba Kura"

Sanga amesema aliyezumgumza maneno hayo anataka kuwagombanisha na Wananchi, akisisitiza CCM inashinda kwasababu Wananchi wanakubali yanayotekelezwa

Ameongeza kuwa kwenye mitandao watu wanasema Rais Samia anaongozwa na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete akihoji, "Hivi ni kweli? Kwani Kikwete hakufanya kazi nzuri kwenye Nchi hii? Tumuache apumzike vizuri kule Msoga"
Asingefanya haraka. Hivi Mwenyekiti wake akitangaza kuwa mchezo mchafu ulifanyika 2020 atajificha wapi?

Amandla...
 
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga ameliambia Bunge "Nasema kwa uchungu mkubwa, mimi nilishinda kwa kishindo na si kwa kuiba Kura. Wabunge wote hapa wameshinda kwa kishindo sio kwa wizi. Rais alishinda kwa kishindo hakuiba Kura"

Sanga amesema aliyezumgumza maneno hayo anataka kuwagombanisha na Wananchi, akisisitiza CCM inashinda kwasababu Wananchi wanakubali yanayotekelezwa

Ameongeza kuwa kwenye mitandao watu wanasema Rais Samia anaongozwa na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete akihoji, "Hivi ni kweli? Kwani Kikwete hakufanya kazi nzuri kwenye Nchi hii? Tumuache apumzike vizuri kule Msoga"
Ugoro +petroli
 
Huyo kaamua kupigia mstari yanayosemwa kwa kurudia ili labda ujumbe ufike...,

Kwahio anajua kwamba kuna ukakasi / mashaka kuhusu uchaguzi uliopita na uongozi wa sasa ?
Haiwezi kuwa jiwe la gizani,huenda ana ujumbe mahsusi asikilizwe hoja yake na iangaliwe Kwa undani.
 
dude letu hilo. Hakuna wizi wa kura. Wameanza, hahahahaha na Mama kama ana akili huu ndiyo muda wa kumtengua Riziwan, Makamba, Nape kama alivyofanya kwa akina Lukuvi na Kalemani
Kwa hiyo asipowatengua hao uliowataja, anakuwa hana akili?
 
Deo rudi kwenu Makete ukasaidie kuleta maendeleo sio kuimba ngonjera hizihizi kila siku
2025 sio mbali ujue lakini Mungu naye huwa ana mipango tofauti...
 
Back
Top Bottom