Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

You're totally wrong on this one na probably una interest binafsi, hivi harusi ya Mrema uliyasema haya? Je na msiba wa public figure mathalan mbunge kuupost hapa janvini itakuwa ni kuingilia privacy ya marehemu?
Utajitetea kwa namna milioni lakini kwenye hili umeboronga sana.
 

... nakubaliana na wewe....
 

Mshamba wewe, ndiyo maana mke wako alikuacha solemba ukaishia kuoa house girl wako!
 
Deo Sanga maarufu kama Jah People ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako, leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .
Mbona wanafanana sana? Yaani hapo kinachowatofautisha ni urefu tu, maan hiyo rangi nyingine itabadilika hivi karibuni
 
Hakika mkuu
 
Mshamba wewe, ndiyo maana mke wako alikuacha solemba ukaishia kuoa house girl wako!
Mkuu Maulaga59, hapa nazuia nini na we we unafanya nini kuhusu the right to privacy?. Ila pia kasema ukweli, umbea mwingine...., mimi niko very open kuhusu maisha yangu both public life as well as private life, Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda! humu nilisema kila kitu!.
Kina vitu vingine vinatutokea kwenye maisha yetu unakuta sio sisi ni shetani!. Kwa taarifa yako hiyo dada wala hakuwa a house girl!, ni mdada tuu mwenye kazi yake mzee mzima nikafika bei, nikamuachisha kazi na nikavuta jumla!.

Mastori ya Pasco.


Hivyo mtu anayeitwa house girl ni titles tuu, baadhi ya ma house girls ni zaidi ya ma housewife kwenye yale mengineyo!. Unadhani kule kuna alama mama grades kuwa hiyo ni ya housewife ,hiyo ni ya house girl na hii ni wale madanga!, the services are all the same and sometimes more or less!. Tusiwadharau kabisa beki 3!, wanaokoa sana majahazi kwa kuwasaidia sana wale wamama wenye nyumba ambao ni wavivu wavivu!.

P
 
Kwamba kuoa kwake ni siri au unataka kusema JF haturuhusiwi kuwaandika waliooa, tena waliooa hadharani? Huu ndio uanasheria uliosomea law school?

Pascal nani kakudanganya kwamba unao uwezo wa kutupangia cha kuandika?
Kuoana haiwagi siri na ndo maana zinafungwa hadharani na mnaulizwa mbele ya kadamnasi.
 
Ila Hawa Wazee Wamecharuka Sana Sasa Hivi

Professor Kapuya
Mrema * Hatunaye
Deo Sanga
 
Mipoda sasa [emoji23]
πŸ˜πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜…πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ₯°πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„
Hapo Anaiaminisha Hadhira Kuwa Jambo Lipo (Yaliyomo Yamo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…