Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu kumbe kutoka nje ya ndoa na kuzaa ni kawaida?Hivi nayo hii habari kweli ya kujadili watu wazima? Mbona mimba tunatia watu kila siku tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kutoka damu mkuu... Kama huyo Irene yeye china kama kariakoo
Mkuu, wengine bado watoto humu hawawezi kukuelewa. Ngoja wakue.Ubaya huko wapi hapo?
Mbona haya wanaume wengi tunayafanya sema kutokuwa maarufu ndio kunatusaidia siri zetu zisibumbuluke.
Huyo kwingu sema tatizo lake umaarufu ila Mimi sijaona kama tatizo sana kwa anayoyafanya ukizingatia bado "kijana".
Labda kama wewe ni mke wake umeumia.
Sasa Mtoto kama huyo mwenye gauni la bluu unamuachaje kwa mfano?
Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amekumbwa na kashfa ya kungonoka na wasichana watatu tofauti na mmoja kuzaa naye, mdada aliyezaa naye anaitwa Nicole Franklin na ...
![]()
Mkuu, wengine bado watoto humu hawawezi kukuelewa. Ngoja wakue.
golddiggerhuyu mbunge anakula vitu vitamu mno
Mkuu hata mimi huwa namuonaga tu ila nimemjua zaidi baada ya kuanza kulalamika kuhusu Vanessa na kingu pia ni stylishMkuu, embu naomba uendelee kutiririka juu ya huyu Nicole. Huwa namuonaga sana insta...
Assume mmoja wa ma golddigger wake(alivyo wa refer yeye) ameathirika na AIDS, jamii itakua wapi!?Halafu ktk jamii zetu, mila zetu, hili nalo ni kosa Kwani? Hizo tamaduni mpya ktk miavuli ya dini nazo tuzichuje, zisituharibie misingi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni upande wa pili wa shilingi, inshuu ilikuwa kuona tabia ya kuwa na wake wengi ni upotofu, ngono. Labda tumlaumu kwa kutowaweka ndani labda.Assume mmoja wa ma golddigger wake(alivyo wa refer yeye) ameathirika na AIDS, jamii itakua wapi!?