waislam tukioa wake wanne mnatuona tunakosea haya endeleen kuchepuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea yote. Kinachomsumbua huyo Kingu ni ushamba, period.ukiona dume zima linaanika mkewe na maneno ya kitoto ya kumsifia hapo lazima huyu mke ajue anachapiwa tu, self defence za kizamaniiii, huyu kingu limbukeni wa maku haya mambo kayajua baada ya kupata kura, shida ya kuolewa na wagagagigikoko mwanaume domo zege akikuoa akiwa hana kitu akipata tu anakuona wa nini maana linaamini katika cheo na fedha zake...atat...mb tu ila asitese watoto
Yani huyu jamaa kama mtoto!! Kutwa kushindia instagram, kuandika upupu. [emoji28]Mtu anachepuka lkn eti anaandika magazeti insta ya kumsifia mke wake.Kama unampenda sana muonyeshe huko huko nyumbani sio insta.
Alikuwaga demu wa pilipiliMkuu, embu naomba uendelee kutiririka juu ya huyu Nicole. Huwa namuonaga sana insta...
Mkewe akichepuka mheshimiwa nae awe mpole tu maana kuchapiwa ni siri ya ndaniMambo ya kawaida haya, wanaume ndo tumeumbwa hivi. Huu mchepuko wake mwenye mtoto hata mimi naujua. Umepangishiwa apartment Kijitonyama na ndinga juu ukapatiwa. Acheni mbunge aishi maisha yake.
KWELI KABISA MKUUukiona dume zima linaanika mkewe na maneno ya kitoto ya kumsifia hapo lazima huyu mke ajue anachapiwa tu, self defence za kizamaniiii, huyu kingu limbukeni wa maku haya mambo kayajua baada ya kupata kura, shida ya kuolewa na wagagagigikoko mwanaume domo zege akikuoa akiwa hana kitu akipata tu anakuona wa nini maana linaamini katika cheo na fedha zake...atat...mb tu ila asitese watoto