MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Mkuu ubuyu kwenye kisoda ndo nini....tiririkaaaaaah!!Nicole franklin ndio alimtoa vumbi mc pilipili
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ubuyu kwenye kisoda ndo nini....tiririkaaaaaah!!Nicole franklin ndio alimtoa vumbi mc pilipili
Acha mbwembwe weka picha bhana ebo...?!Hivi nayo hii habari kweli ya kujadili watu wazima? Mbona mimba tunatia watu kila siku tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wasichana anao date nao wako bomba, safi sana. Kama unaona ni vibaya jaribu na wewe kukosa mpenzi uone
ili mradi tu uangushe lawama kwa mwanamke....hivi kuzaliwa mwanamke ni kosa kubwa?Wanawake wenyewe ndio wanaopenda kupambwa hadharani.
WEWE NAYE UMEKOMALIA UMALAYA WA KINGU UTADHANI ALIMUACHA DADA YAKO UNATUPOTEZEA MUDA
Ya mbowe yapi Yale yakutengeneza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]WEWE NAYE UMEKOMALIA UMALAYA WA KINGU UTADHANI ALIMUACHA DADA YAKO UNATUPOTEZEA MUDA
Jomoniii hata wewe nikupendaye wa kunifanyia hivii?Si bora basi iwe Dada yake kweli Mkuu? Inaonekana Kingu alimkingua hivyo ana hasira nae sana tu pamoja na Wivu.