Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli..Ukitaka kuishi kwa amani usidate hizi dudu zinaitwa selebrite
Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes
Mkuu Ki Mun, kwanza nianze kwa kulaani kitendo kilichofanywa na huyu kicheche kwenye mahojiano hayo, japo ni Mrembo wa sura na umbo, lakini kichwani ni mtupu kabisa!, kitendo cha kuzaa na mume wa mtu, huku mke hajui, halafu anakuja mbele ya kamera na kujiproud ni ujinga uliopitiliza, hivyo kuitwa kuitwa gold digger ni kupendelewa, jina halisi alipaswa kuitwa mala.. mbwa, na mvunja ndoa za watu!. Umala... wake ni kuji proud umetembea na mwanaume zaidi ya mmoja, mtu amevishwa pete ya uchumba, halafu anakuja kumsifia ex wake ambaye ni mume wa mtu, tena huyu ni maharage ya Mbeya kabisa, anasema jamaa hata akimkosea vipi, akimuibukia tuu, hawezi sema lolote!. Atakayeoa huyu dada, amekula hasara!.Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kale ka madini baba yake ni nani?
Sijawahi ona umeandika kama hivi. Tukisema tuanze waliozalishwa na waume za watu tutakuta malaya wengi sana. Kingu alimdanganya huyo dada atamuoa mke wa pili sababu ndoa yake na mke wake imekufa na alishampeleka mpaka kwake. Kingu alikua wazi kabisa kwenye relationship yake na Nicole. Alikua anamuweka dp anampeleka anakaa na watoto wake. Mwananke yeyote ukimuaminisha hivi ukimuomba kuzaa hawezi kataa. Ni kosa amefanya ila Kingu alimsababishia hivi.Mkuu Ki Mun, kwanza nianze kwa kulaani kitendo kilichofanywa na huyu kicheche kwenye mahojiano hayo, japo ni Mrembo wa sura na umbo, lakini kichwani ni mtupu kabisa!, kitendo cha kuzaa na mume wa mtu, huku mke hajui, halafu anakuja mbele ya kamera na kujiproud ni ujinga uliopitiliza, hivyo kuitwa kuitwa gold digger ni kupendelewa, jina halisi alipaswa kuitwa mala.. mbwa, na mvunja ndoa za watu!. Atakayeoa huyu dada, amekula hasara!.
Tukija kwenye hili la wanaume kutoka nje ya ndoa na kuwa na nyumba ndogo, sio tuu wanasiasa, bali wanaume wengi wa ki Afrika, kutoka nje ya ndoa ni jambo la kawaida sana kwa sababu, an African man is polygamous by nature, hii ndio asili yetu!, hizi ndoa za mke mmoja ni man made by wazungu tuu, hata Bible, hakuna mahali Mungu amekataza ndoa za wake wengi, hivyo wanaume wote wa kiAfrika ambao hawajawahi kutoka nje, ndio wana ji pretend against human nature ya wanaume wa Africa!. Hili nimelizungumza hapa
Pongezi Rais Wetu Magufuli Kwa Kuwa Mkweli Daima, Tuanzishwa The Church of Africa, Tuoe Wake Wengi!.
Paskali
Beauty without brainsHUYO BINTI EMPTY KABISA, ANAJICKIA FAHARI KUDATE NA MUME WA MTU.. KWELI MWANAMKE AKIKOSA AKILI, UCHI NDIYO HUUMIA.
Yule mwanamke jamani hastahili mwanaume wa vile hata kidogo. Halafu ni mzuri. Na haamini baya lolote kuhusu mumewe. Hata mwanamke wa sasa wa Kingu yule mama anamjua ila kadanganywa yule mwanamke ni dada yake Kingu wanatoka wote Singida.Kwa anayemfaham mke wa Kingu huwezi kuamini kama aliolewa na mwanaume mwenye akili za ajabu kiasi hiki cha maelezo ya Trump. Unaweza kujiuliza hivi mwanaume mwenye mwanamke mzuri vile bado anahitaji nini? Lakini miafrika ni mimtu ya ovyo kama mashimo ya vyoo - Trump is more than correct! Yes, ovyo!
Huyo mchumba akimuoa atakua mjinga maana Kingu ana uhakika wa kula mzigo dakika yoyote akitaka. Unamuongelea baba wa mtoto wako kwa mahaba hivyo wakati mmeshaachana si uwaruwaru huo.Nimejikuta naiangalia hadi mwisho labda ningesikia kuhusu yeye.. ila duh huyu ana kazi hata huyo mchumba pole yake roho yake ipo kwa mume wa mtu... anajiweka kama vile mkewe.. anaongeza na chumvi kujipa chati.. eti anashangaa wanayoongea wanaume eeeh huyu kweli..
Haya vipi mchumba wanaendeleaje? Ameshaolewa?
HahahahahahaDemu mkali hadi anafanya numuone Nuru wangu kama kibwengo tu.
Huyo mchumba akimuoa atakua mjinga maana Kingu ana uhakika wa kula mzigo dakika yoyote akitaka. Unamuongelea baba wa mtoto wako kwa mahaba hivyo wakati mmeshaachana si uwaruwaru huo.