Mbunge Fransic Mtinga: Serikali ilijidanganya kupandisha bei ya kuunganishia umeme, ataka irudishwe kuwa Tsh. 27,000

Kitu nimegundua ni kwamba Mungu alikosea kutuondolea dhahabu akatuachia moram
 
Kuna siku nikapiga simu TANESCO,kuuliza mbona hadi kijijini mnakata kodi za majengo wakanijibu ndo sheria ipo ivo...
 
Ilitakiwa uwe bure kabisa. Kuunganisha umeme na maji viwe ni bure, tulipie matumizi sio maunganisho.
 
Hii ndo akili kubwa wao wanataka warecover gharama kwa kufunga umeme na sio kuuza umeme
 
Ila watanzania wajinga sana. Yani kutoka 27,000/- mpaka 320,000/- halafu watu wameweka makalio chn kama hakuna kilichotokea.
Na wanasifia eti yule aliyekuwa pale alikuwa shetani huyu ndo anafanya kazi nzuri na anaifungua nchi .
 
Mimi nasimama na Tanesco Kwa sababu hata bei ya Sasa ya 320,000 ni bei ya ruzuku sio ya soko Sasa kupunguza zaidi ni kuua shirika.

27,000 Bado Iko Vijijini lakini hakuna wanaoongiza umeme Kwa Kasi
Kwamba unataka kurecover bei ya material ya kuunganisha umeme are you serous
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…