Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Acha fitina wewe ukidhani ndugu wanaweza kugombana kwa fitina zenu.pumbavuuu
Hta ukitukana haibadili ukwel...wazanzibar wamewachoka ....mmewakalia sana na kuwakamua kw unafiki wenu
 
Hta ukitukana haibadili ukwel...wazanzibar wamewachoka ....mmewakalia sana na kuwakamua kw unafiki wenu
Hahahaha your wishes! Subiri muungano wa Tanzania uvunjike utavunjika wewe. Lofa wewe
 
Njoo mombasa uone wafanyibiashara wa tanga wanavyonunua bidhaa zao mombasa...tena daily...jamaa anajaza zile coastar bidhaa mpka kw voti na wala hamana abiria
Hujaelewa nini?nyie mnatuuzia finished products
 
Duale nae anafeli..

Huwezi fananisha kuchom vifaranga na mnada wa ng'ombe kwa ku-insite xhzenophobic violence ambapo human beings wanauwawa!

Huwezi fananisha vifo vya vifaranga na vifo vya wanadamu!

Pia in part maamuzi mabovu sana ya Jiwe ndio sprinkle effect hii....tukio alilodhani eti ni kuchoma vifaranga tu ndio hili limeingia kwenye xhzenophobia!

Yaani Jiwe bwana,hajielewi kabisa....na utani utani hivi nchi hizi zitafunga mipaka,and mambo yaki escalate ni actual war...

Hayo yote ni matokeo..

Naweza laumu zaidi ya ukoswaji wa busara na serious leadership kwa upande wa Jiwe...

Maamuzi ya chooni ndio yanapelekea haya.....jamaa sijui hua anafikiria kwa kutumia nini hasa!

Na CCM wanashabikia kama majuha basi anapata mori zaidi anazidi kunya zaidi...haya mambo yana escalate to some stupid outcomes!

Na Kenya wanasiasa vichaa kama hawa akina Duale wanazidi kunya zaidi na zaidi...mwisho utakua mbaya!

Yaani sijui tumelogwa wapi aisee.....
 
Sasa Mkuu kwa kuwa wametuzidi basi ndio tuwasujudie siyo
 
Hivi unajua mtu muhimu kama mbunge anaposema Nakupa masaa 24 uwe umeondoka manake ni kwamba huyo haoni faida yoyote toka kwako. Sasa je, tuendelee kushirikiana na watu wanatuona hivi kwa kujipendekeza?
 
Ukisikiliza hiyo YouTube ya Duale, amesema MD wa Baclays Bank Tanzania ni mkenya anaetoka jimboni kwake na kwamba anaongea nae kila siku na kumpa taarifa kuwa wakenya waishio Tanzania wanapitia madhila mengi au kunyanyaswa sana...

Duh...haoni kama kamchomea sasa

.!!!
 
Uganda is the most food secure nation in Africa..hizi opinions zako zijui unazitoa wapi
Acha Maneno yako wewe, mwaka huu ni Tanzania pekee ndio imepata chakula cha ziada cha kuziuzia karibu nchi zote za EAC, SADC na COMESA. Lete data za Kenya mwaka huu uone chakula kingi kinatoka wapi kati ya Tanzania na Uganda. Kumbuka Uganda wanategemea Tanzania kwa pamba na Mchele, wao hulima zaidi Mahindi na Ndizi.
 
Unataka kusema unakubaliana na Jaguar?
 
there is no food you are exporting to UGANDA ..bring evidences here not thoughts from your ass ..Uganda is 3 times food secure than Tanzania
 
Mm nacho waambia wakenya fateni sheria bila kushurutishwa magu sio mpole ohooo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…