Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
5 tena kwa gwajiboy
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
Kuna baadhi ya mambo kama mwanaume ukiyalalamikia unaonekana kama una shida ya kijinsia. Gwajima ndio mbunge pekee ambaye kazi zake zimeonekana.
 
Hivi Gwajima alishawahi hata kutekeleza chochote alichowahi kusema katika maisha yake???
Refer-kumfufua Amina chifupa.
●Magreda 20 jimbo la kawe.
●Kawe development Foundation
●Vijana kwenda marekani
●Etc
 
Tafuta hela wewe umeanza mapema hivo kulialia unataka hela za wenzako , tafuta zako
 
Heee huyuu jamaa account ni kwa ajili ya manufaa yako ,unataka na hela uwekewe
 
hahahaha hakudanganya mtu ila alikutana ujinga na upumbavu wa mtz katika ubora wake
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM.
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
Acha kudanganya uma wa watu na kuchafua jina la gwajima pasipo sababu za msingi umekiri kuwa amepita shina kwa shina na unauhakika mashina yapo mengi kwenye Jimbo la Kawe yawezekana shina lenu bado halijafikiwa umeshaanza kuleta porojo zisizo za kweli, nakushauri tafuta hoja yenye msingi ndiyo uilete huku tuijadili hii haina mashiko
 
Back
Top Bottom