Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

Mbunge Gwajima alitudanganya tufungue Akaunti NMB ataweka fedha za ukarabati wa barabara

Acha kudanganya uma wa watu na kuchafua jina la gwajima pasipo sababu za msingi umekiri kuwa amepita shina kwa shina na unauhakika mashina yapo mengi kwenye Jimbo la Kawe yawezekana shina lenu bado halijafikiwa umeshaanza kuleta porojo zisizo za kweli, nakushauri tafuta hoja yenye msingi ndiyo uilete huku tuijadili hii haina mashiko
Kama kuna shina kaliwekea fedha basi litaje hapa tulijue?? Wacha kumtetea TAPELI
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
Chezea chukuwachakomapema weye?!🤣😂😅😆😁
 
Kuna baadhi ya mambo kama mwanaume ukiyalalamikia unaonekana kama una shida ya kijinsia. Gwajima ndio mbunge pekee ambaye kazi zake zimeonekana.
Kazi za Gwajima zilizoonekana ni ile tu ya porn star ambayo alijiterea kuwa ni mguu wa baunsa
 
Acha kudanganya uma wa watu na kuchafua jina la gwajima pasipo sababu za msingi umekiri kuwa amepita shina kwa shina na unauhakika mashina yapo mengi kwenye Jimbo la Kawe yawezekana shina lenu bado halijafikiwa umeshaanza kuleta porojo zisizo za kweli, nakushauri tafuta hoja yenye msingi ndiyo uilete huku tuijadili hii haina mashiko
Wewe ndo unadanganya uma sasa.
Gwajima ni muongo kupindukia hata mtoto mchanga anajua.
 
Kati mwezi Mei na August 2024 Mbunge wa jimbo la Kawe Josephat Gwajima alipita kwenye matawi na mashina ya CCM katika jimbo la Kawe.

Alifanya mikutano ya kuhamaasisha uchangiaji wa ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua za Elnino. Aliahidi kuwa tukifungua akaunti ya pamoja katika kila Shina yeye ataingiza fedha kwenye akaunti, kisha atamshawishi na Diwani naye achangie.

Akamaliza kwa kusema tutapanga siku rasmi ya kufanya "fund raising" ambapo atakuja na wahisani wengine na pia sisi wakazi tutapaswa kuchangia pia.

Tulitekeleza yote na kumtumia namba ya akunti ya NMB lakini mpaka leo ni mwezi Novemba hajaweka hata JERO (Tsh 500/-). Na tukimpigia simu hapokei

Sasa kama Mbunge anaharibu muda wetu kutuita, kutukusanya na kisha kututapeli maana yake ametudharau??

Huyu mtu mwaka kesho akae mbali na form ya CCM. Ni TAPELI
pia alituahidi boti za uvuvi, kwenda marekani nk
kuna wajinga mahali wanaandaa kuchinja ng'ombe mahali ili wamualike ati kawasaidia kupata hati za viwanja vyao
 
pia alituahidi boti za uvuvi, kwenda marekani nk
kuna wajinga mahali wanaandaa kuchinja ng'ombe mahali ili wamualike ati kawasaidia kupata hati za viwanja vyao
Mazuzu kabisa kabisa 🤬 🤬 🤬
 
pia alituahidi boti za uvuvi, kwenda marekani nk
kuna wajinga mahali wanaandaa kuchinja ng'ombe mahali ili wamualike ati kawasaidia kupata hati za viwanja vyao
Hawa ndiyo wanafanya Tanzania tudharauliwe sana na majirani
 
Mbunge Gwajima huyo nimfanya maendeleo ya ameleta maendeleo makubwa sana kwa jimbo la kawe na yeye Wala sio muongo ametekeleza mambo mengi katika jimbo la kawe yeye ni kiongozi wa kuingwa kabisa
 
Back
Top Bottom