Mbunge Jacqueline Ngonyani (CCM): Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

Mbunge Jacqueline Ngonyani (CCM): Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

Hamna haja ya kutumia gharama kununua mashine,yeye ajitolee kunyonya nanii zote za wabunge kisha aandike report kuwa kakutana na masweta mangapi!

Itakuwa reaseach nzuri sana inaweza kumpatia PhD ya Ngovinology...!!!Kaazi kwelikweli mibunge ya kutoka Lumumba St.
 
Wanawake Bwana. Wao wanataka kubaki na vyao. Angalia hawataki kukeketwa, Nywele ndo hivyo wanatafuta za akina Rihana wajazilizie, Kucha wamezirefusha mpaka chui haoni ndani. Sasa huku kwetu ndevu unaweza kufuga kama ni shehe au uwe na Imani kali. Wanawake muwe na huruma na sisi
Mkuu unawajumlisha wanawake wote kwa popoma mmoja serious? Wew umekeketwa naona unahitaji wanawake wakeketwe.
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.

Tuna shida sana kama taifa..halafu unakuta huyu analipwa mshahara na posho sawa na Zitto au Bashe! badala ya kufikiria kumnyima mshahara Lissu hawa ndio wanatakiwa wapigwe chini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Govi ni makazi ya Human Papiloma virus (HPV) ambao huchangia kwa kiasi kikubwa saratani ya shingo ya kizazi (Cervical Cancer) kwa kina Mama.
Pia lina mchango mkubwa wa maambukizi ya VVU na ndio maana kwenye Mikoa yenye viwango vikubwa vya maambukizi ya VVU na utamaduni wa tohara haupo basi kuna miradi ya tohara kwa mwanaume
Mikoa hiyo ni kama vile Rukwa, Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Tabora, Geita, Kagera, Shinyanga, Singida nk
Kwahiyo ni muhimu kwa wanaume kufanya tohara ili kupunguza kasi ya maambukizi ya VVU pamoja na Saratani ya Shingo ya kizazi kwa kina mama
Ninaamini Mh Mbunge alikuwa na maana hiyo.
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.

Nimejaribu kuufatilia huu Uzi mpaka ulipoishia lakini sijaona mahali ulipotolewa ufafanuzi kwanini Mh. ameamua kutoa hoja nzito namna hiyo. Zaidi ni mitusi tu, we are all confused humu jamvini!
 
Govi ni makazi ya Human Papiloma virus (HPV) ambao huchangia kwa kiasi kikubwa saratani ya shingo ya kizazi (Cervical Cancer) kwa kina Mama.
Pia lina mchango mkubwa wa maambukizi ya VVU na ndio maana kwenye Mikoa yenye viwango vikubwa vya maambukizi ya VVU na utamaduni wa tohara haupo basi kuna miradi ya tohara kwa mwanaume
Mikoa hiyo ni kama vile Rukwa, Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Tabora, Geita, Kagera, Shinyanga, Singida nk
Kwahiyo ni muhimu kwa wanaume kufanya tohara ili kupunguza kasi ya maambukizi ya VVU pamoja na Saratani ya Shingo ya kizazi kwa kina mama
Ninaamini Mh Mbunge alikuwa na maana hiyo.
Hamu tu zinamsumbua huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzalendo2015,
Acha wenge angali video kwanza, aliyetoa wazo la kuwekwa kamera za kukagua magovi ni mwanaume na sio hiyo mbunge mwanamke
 
Mbunge Jacqueline Ngonyani: Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge ambao hawajatahiriwa ameyasema hayo leo

======

images(1).jpg

February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo wa kuwakagua Wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa ili kusaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa mbalimbali.

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Jacqueline Ngonyani ametoa ushauri kwa Wabunge ambao hawaja fanya tohara (hawajatahiriwa) watahiriwe haraka.

"Mh. Spika kuna suala la Mkono Sweta (Wanaume ambao hawajatahiriwa) , Mkono Sweta ni janga, mi nilikuwa nashauri tuanze na Wabunge wote humu ndani ambao pengine watabainika ambao hawajafanya hiyo tohara basi wa fanyiwe tohara mara moja," alisema Ngonyani leo Bungeni jijini Dodoma.

Aidha Mbunge huyo alisema kuwa mkono Sweta uaambukiza magonjwa mengi ukiwepo wa ukimwi amesema kuwa hiyo inaambukiza kwenye mwenye mkono sweta kwa mwanamke
 
Wame watafuta wapinzani, wamewatafuta wabunge wenye akili kwa lengo la kuwadhibiti.
Sasa wameamua kitafuta Magovi, ili iwe nini? au mdiyo kuwatoa watu kwenye track ya Lissu?
 
Mbunge Jacqueline Ngonyani: Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge ambao hawajatahiriwa ameyasema hayo leo

Ajiandae kwa ajili ya uteuzi. Huyu ndie mfano wa watu wanaotakiwa na jiwe kwenye "serikali" yake.
 
Back
Top Bottom