Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mmmh,nahisi atakuwa lusinde huyo!punguza makali br binadamu wote ni ndg na africa ni moja, huyo atakuwa aliliwa na jamaa ana sweta so ana stress tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh,nahisi atakuwa lusinde huyo!punguza makali br binadamu wote ni ndg na africa ni moja, huyo atakuwa aliliwa na jamaa ana sweta so ana stress tu.
Supika sijui kama atakuwa upande gani?Maana nasikia walio na ile kitu wana mihemkobalaa!
Hahahaha.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mbunge Jacqueline Ngonyani: Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge ambao hawajatahiriwa ameyasema hayo leo
Msukuma aliyesema train la stiglas goji ndiyo mwenye aioli? Kibajaji je si ndio uvundo wa panya aliyekufaHuko ccm mbuge mwenye akili ni Msukuma..
Hahahaha.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wanahaingaika kutafuta mlo, maji safi, mbiundombinu nk, huyu mbunge wa CCM anasumbuka na wasiotahiriwa!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge Jacqueline Ngonyani: Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge ambao hawajatahiriwa ameyasema hayo leo
======
February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo wa kuwakagua Wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa ili kusaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa mbalimbali.
Pia ifungwe mitambo Ya kuwakagua wanawake ambao hawajakeketwa ili kuzuia kupunguza ham za wanawake na kupunguza kuchepukaMbunge Jacqueline Ngonyani: Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge ambao hawajatahiriwa ameyasema hayo leo
======
View attachment 1016101
February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo wa kuwakagua Wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa ili kusaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa mbalimbali.
Stela manyanya ndo unajibu hiviPia ifungwe mitambo Ya kuwakagua wanawake ambao hawajakeketwa ili kuzuia kupunguza ham za wanawake na kupunguza kuchepuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge wote akili yao kama yule bundi tu
Uko Sawa kabisa Stella. Kutahiriwa ni kutahiriwa tu. Awe mwanaume au mwanamke. Kwanza yeye huyu akiwa Ukuryani anaitwa Masaghani.Pia ifungwe mitambo Ya kuwakagua wanawake ambao hawajakeketwa ili kuzuia kupunguza ham za wanawake na kupunguza kuchepuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Afya majuzi alitoa tahadhari kwamba ungonjwa wa kansa ''Cancer'' ni tishio Tanzania wadau pia wakatao tahadhari kwamba kunyanya huo mjengo ni chanzo kikuu cha kansaHamna haja ya kutumia gharama kununua mashine,yeye ajitolee kunyonya nanii zote za wabunge kisha aandike report kuwa kakutana na masweta mangapi!