Mbunge Jafari Chege: Mimi ni Muombaji wa Fedha za Maendeleo, Anayetoa Fedha Hizo ni Rais Samia

Mbunge Jafari Chege: Mimi ni Muombaji wa Fedha za Maendeleo, Anayetoa Fedha Hizo ni Rais Samia

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE JAFARI WAMBURA CHEGE: MIMI NI MUOMBAJI, ANAYELETA FEDHA ZA MAENDELEO NI RAIS WA NCHI, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura Chege katika muendelezo wa ziara Jimboni amesema kuwa Yeye kazi yake ni kuomba fedha za Maendeleo lakini anayetoa hizo fedha ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Jafari Wambura Chege amesema kuwa, Wabunge wanapoongea bungeni, Mama Samia anasikia na anatekeleza ndiyo maana ndani ya miaka mitatu Rorya imepata miradi mingi sana kwa kipindi kifupi.

"Tumejenga madaraja ya Mto Mole na Mto Maya yamekamilika. Mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amenipa fedha zaidi ya shilingi milioni 200 ili tupandishe barabara iwe juu iwe sawa ili tuwe tumekamilisha madaraja pamoja na barabara yake" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya

"Aliyenipa fedha za kujengwa madaraja na upanuzi wa barabara ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tumejenga daraja ambalo wananchi wameliomba kwa zaidi ya miaka 40, akina mama na watoto wadogo wamekufa sana"

"Malengo yetu sisi ni mtu Anayetokea Kuluya - Nyamambwuku - Kilogo - Uboche - Kariakoo - Nyabikondo - Uboche B - Shirati kwa kutumia barabara tunaiyojenga. Haya yote anayeyafanya ni Mama yetu Samia"

"Mmeomba Maji kwa muda mrefu, kuna vijiji havina maji lakini Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kuwachimbia kisima ambacho kitatengenezewa miundombinu mizuri ya maji. Nimetoa Milioni 3 mjenge choo ambayo nimepewa na Mama Samia kupitia Mfuko wa Jimbo"

"Uchaguzi unaokuja mwakani Wema ulipwe kwa Wema. Pamoja na haya mazuri yaliyofanyika isije ikafika mwakani tukamuacha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mwakani nitakuja kumuombea Rais Samia kura za kishindo" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-09-21 at 10.25.55.mp4
    27.1 MB
Kwa hiyo Mbunge bora ni yule muombaji mzuri...!

Wabunge wanatuombea maji na madaraja kwa Rais, kisha wanarudi kwa wananchi kumuombea kura!
 

MBUNGE JAFARI WAMBURA CHEGE: MIMI NI MUOMBAJI, ANAYELETA FEDHA ZA MAENDELEO NI RAIS WA NCHI, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura Chege katika muendelezo wa ziara Jimboni amesema kuwa Yeye kazi yake ni kuomba fedha za Maendeleo lakini anayetoa hizo fedha ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Jafari Wambura Chege amesema kuwa, Wabunge wanapoongea bungeni, Mama Samia anasikia na anatekeleza ndiyo maana ndani ya miaka mitatu Rorya imepata miradi mingi sana kwa kipindi kifupi.

"Tumejenga madaraja ya Mto Mole na Mto Maya yamekamilika. Mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amenipa fedha zaidi ya shilingi milioni 200 ili tupandishe barabara iwe juu iwe sawa ili tuwe tumekamilisha madaraja pamoja na barabara yake" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya

"Aliyenipa fedha za kujengwa madaraja na upanuzi wa barabara ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tumejenga daraja ambalo wananchi wameliomba kwa zaidi ya miaka 40, akina mama na watoto wadogo wamekufa sana"

"Malengo yetu sisi ni mtu Anayetokea Kuluya - Nyamambwuku - Kilogo - Uboche - Kariakoo - Nyabikondo - Uboche B - Shirati kwa kutumia barabara tunaiyojenga. Haya yote anayeyafanya ni Mama yetu Samia"

"Mmeomba Maji kwa muda mrefu, kuna vijiji havina maji lakini Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kuwachimbia kisima ambacho kitatengenezewa miundombinu mizuri ya maji. Nimetoa Milioni 3 mjenge choo ambayo nimepewa na Mama Samia kupitia Mfuko wa Jimbo"

"Uchaguzi unaokuja mwakani Wema ulipwe kwa Wema. Pamoja na haya mazuri yaliyofanyika isije ikafika mwakani tukamuacha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mwakani nitakuja kumuombea Rais Samia kura za kishindo" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya
Sasa hapo ni I mbaya, na hata kura si wamuombe huyo Rais awapee,
 

MBUNGE JAFARI WAMBURA CHEGE: MIMI NI MUOMBAJI, ANAYELETA FEDHA ZA MAENDELEO NI RAIS WA NCHI, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura Chege katika muendelezo wa ziara Jimboni amesema kuwa Yeye kazi yake ni kuomba fedha za Maendeleo lakini anayetoa hizo fedha ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Jafari Wambura Chege amesema kuwa, Wabunge wanapoongea bungeni, Mama Samia anasikia na anatekeleza ndiyo maana ndani ya miaka mitatu Rorya imepata miradi mingi sana kwa kipindi kifupi.

"Tumejenga madaraja ya Mto Mole na Mto Maya yamekamilika. Mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amenipa fedha zaidi ya shilingi milioni 200 ili tupandishe barabara iwe juu iwe sawa ili tuwe tumekamilisha madaraja pamoja na barabara yake" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya

"Aliyenipa fedha za kujengwa madaraja na upanuzi wa barabara ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tumejenga daraja ambalo wananchi wameliomba kwa zaidi ya miaka 40, akina mama na watoto wadogo wamekufa sana"

"Malengo yetu sisi ni mtu Anayetokea Kuluya - Nyamambwuku - Kilogo - Uboche - Kariakoo - Nyabikondo - Uboche B - Shirati kwa kutumia barabara tunaiyojenga. Haya yote anayeyafanya ni Mama yetu Samia"

"Mmeomba Maji kwa muda mrefu, kuna vijiji havina maji lakini Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kuwachimbia kisima ambacho kitatengenezewa miundombinu mizuri ya maji. Nimetoa Milioni 3 mjenge choo ambayo nimepewa na Mama Samia kupitia Mfuko wa Jimbo"

"Uchaguzi unaokuja mwakani Wema ulipwe kwa Wema. Pamoja na haya mazuri yaliyofanyika isije ikafika mwakani tukamuacha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mwakani nitakuja kumuombea Rais Samia kura za kishindo" - Mhe. Jafari Wambura Chege, Mbunge wa Jimbo la Rorya
Huyu ni makalio kabisa! Samia ana kutoka wapi? Ngedere huyu!
 
Mheshimiwa: suala la UMEME Bado vijijini vingi Bado miundombinu ya umeme,,, UMEME umepita tu bababarani,, fanya mpango UMEME usambazaji wa nguzo ili watu waweke kwenye majengo!!! Mfano kijiji cha MANILA Bado umeme haujaenea!!!!
 
Mjinga mwingine! Samia anatoaje pesa!?? Ana kitega uchumi gani ambacho ni chake kinaingiaza pesa ambazo anatoa!?? TRA sio yake, wala Benki Kuu sio yake! Hizo pesa anazitoa wapi!? Ugoro ukifika kwenye koo huwa ni majanga sana! Yaani SAMIA atoe pesa!?? Sema serikali inatoa pesa! Serikali ni watu! Samia hana pesa yoyote ya kutoa! Acheni kupotosha watu!​
 
Sasa hiyo miezi zaidi ya 3 wanayokaa Bungeni hao wapiga makofi kuanzia April hadi Julai wakijadili na kuidhnisha Budget wanakuwa wana[poteza muda na gharama zetu za nini wakati ni kazi ya Rais. Wao wasiwe wanajadili wala kupitisha budget hizo
 
Kunawabunge bado wanaona wananchi ni wajingasana.
 
Kati ya majimbo niliowahi kuzunguka na nkabaini viongozi wake ni aidha hawajielewi au wananchi ndio hawajielewi ni hili jimbo la rorya kwanza jimbo zima hakuna barabara ya lami inayounganisha miji. Kuna barabara ya lami inaanzia mika mpka utegi zahanati miaka zaidi ya 20 imeshindwa kukamilika.
Hali ya maisha ya wananchi ni shida maji hakuna umeme hakuna zaidi na zaidi wanategemea biashara ya mkaa.
Wizi wa ng'ombe umetamalaki wilaya hyo waachie tu kazi ya kuchambua siasa za kenya na simba na yangu.
Ila kitu kimoja tu nawapendea vijana wa hii wilya ni kuwa hawabagui kazi kama wenzao vijana wa wilaya ya bunda na musoma vijijini.
 
Hoja ya msingi hapo! SAMIA anatoaje pesa!?? Kwamba anafanya hisani!? Pesa sio za SAMIA! Wabunge wengine wapumzike tu! Kumbe kweli na wajinga wanazeeka.
 
Back
Top Bottom