Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walie tuu,wakati wanaimba mapambio miaka ya Jiwe walijua barabara zinajengewa makamasi yao?Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.
Mbunge wa Mbulu Vijijini Flatei Massay yeye aliamua kuruka Sarakasi, Jerry Silaa aangua kilio..Kulikoni kwa hawa wabunge?View attachment 2235484
WANANCHI WA JIMBO GANI ? HAJAWAHI KUWA NAO AKIWA DIWANI WALA MBUNGEJerry mara nyingi huwa yuko upande wa wananchi mkuu
Na ndiyo maana hata kipindi malalamiko ya wananchi kudai wabunge wapunguziwe mishahara na posho wabunge wote walikataa isipokuwa yeye ambaye aliunga mkono matokeo yake akaishia kupigwa ban kuhudhuria baadhi ya vikao vya bunge
Sasa sijui ulitaka amjengee kila mwananchi nyumba ili uamini kuwa angalau kuna muda huwa yuko upande wa wananchi
Wabongo bhana msipopiganiwa haki zenu mnasema viongozi mafisadi mkipiganiwa haki zenu bado mnasema viongozi wanafiki na ndiyo maana viongozi wengi wameona wajiangalie wao na familia zao tu maana wabongo hamna jema
Lazima mjue siyo viongozi wote wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi wapo ambao wana uchungu na wananchi
Mkuu usimtetee huyu jamaa labda kama huishi Ukonga. Hana msaada wowote kwa wananchi na hali ya barabara na huduma za jamii kwenye jimbo la Ukonga inatisha.Jerry mara nyingi huwa yuko upande wa wananchi mkuu.
Na ndiyo maana hata kipindi malalamiko ya wananchi kudai wabunge wapunguziwe mishahara na posho wabunge wote walikataa isipokuwa yeye ambaye aliunga mkono matokeo yake akaishia kupigwa ban kuhudhuria baadhi ya vikao vya bunge.
Sasa sijui ulitaka amjengee kila mwananchi nyumba ili uamini kuwa angalau kuna muda huwa yuko upande wa wananchi.
Wabongo bhana msipopiganiwa haki zenu mnasema viongozi mafisadi mkipiganiwa haki zenu bado mnasema viongozi wanafiki na ndiyo maana viongozi wengi wameona wajiangalie wao na familia zao tu maana wabongo hamna jema.
Lazima mjue siyo viongozi wote wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi wapo ambao wana uchungu na wananchi.
Bungeni kuna comedy hadi inakuwa kama kijiwe Cha kahawa, mwingine amebinuka sarakasi.........Chama Cha Mapinduzi kijitafakari selection ya mtu mwenye sifa za kuwa mbungeMbunge wa Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.
Silaa amemwaga machozi akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwendokasi kuanzia Kariakoo hadi Gongo la Mboto Jijini Dar es salaam imevurunda katika miradi mingine.
Mbunge wa Mbulu Vijijini kupitia CCM, Flatei Massay, yeye aliamua kuruka Sarakasi ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami jimboni kwake. Jerry Silaa aangua kilio. Flatei Sarakasi. Kulikoni kwa hawa wabunge?
View attachment 2235484
Haya huwa ni machozi ya mamba,mchongo hayana Cha umaana chochote,kwa mkwnja Hawa jamaa wanaopokea kwa siku,300K per day,lazima utafanya chochote Ili mradi tu,mbele ya mkwanja mrefu,hata nguo unaweza vua,Mbunge wa Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.
Silaa amemwaga machozi akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwendokasi kuanzia Kariakoo hadi Gongo la Mboto Jijini Dar es salaam imevurunda katika miradi mingine.
Mbunge wa Mbulu Vijijini kupitia CCM, Flatei Massay, yeye aliamua kuruka Sarakasi ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami jimboni kwake. Jerry Silaa aangua kilio. Flatei Sarakasi. Kulikoni kwa hawa wabunge?
View attachment 2235484
Ni kweliLazima mjue siyo viongozi wote wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi wapo ambao wana uchungu na wananchi.