Mbunge Jerry Silaa aangua kilio bungeni baada ya kumaliza kuchangia mjadala

Mbunge Jerry Silaa aangua kilio bungeni baada ya kumaliza kuchangia mjadala

Mbunge wa Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.

Silaa amemwaga machozi akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwendokasi kuanzia Kariakoo hadi Gongo la Mboto Jijini Dar es salaam imevurunda katika miradi mingine.

Mbunge wa Mbulu Vijijini kupitia CCM, Flatei Massay, yeye aliamua kuruka Sarakasi ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami jimboni kwake. Jerry Silaa aangua kilio. Flatei Sarakasi. Kulikoni kwa hawa wabunge?

View attachment 2235484
wabunge wa michongo hawa hawana lolote leo hii ndo wawe na uchungu na wananchi wao!mbona bajeti imepita bila mkwamo
 
Lazima walie coz hawana uhakika wa kurudi BUNGENI tena!!
Inawezekana wametumwa na CHAMA ILI kupunguza joto la katiba ikumbukwe pia leo kulikuwa na press ya CHADEMA wake spin kiasi chake sio mbaya!
 
Wanafiki tu hao!

Mimi mwananchi wa kawaida ninaenunua material za ujenzi kwa bei kubwa huku mtaani silii ila huyo bwege marupurupu na mikopo kibao akisema ghorofa iote leo inaota anajifanya kulia.

Labda alisoma text kutoka kwa mkewe akimtishia kumuacha but kusema amelia kwa sababu ya wananchi huo ni uongo.
Don kama huyo hawezi kulia kwa sababu ya kutishiwa kuachwa na kitu kinachoitwa mwanamke
 
Wahenga mnamkumbuka Mheshimiwa Senyagwa alikuwa Mmbunge wa Jimbo la Mpwapwa miaka ya 80 kabla ya Jimbo hilo kugawanywa huyu naye alilia Bungeni kuwaombea maji wananchi wa Jimbo hilo
 
Jerry mara nyingi huwa yuko upande wa wananchi mkuu.

Na ndiyo maana hata kipindi malalamiko ya wananchi kudai wabunge wapunguziwe mishahara na posho wabunge wote walikataa isipokuwa yeye ambaye aliunga mkono matokeo yake akaishia kupigwa ban kuhudhuria baadhi ya vikao vya bunge.

Sasa sijui ulitaka amjengee kila mwananchi nyumba ili uamini kuwa angalau kuna muda huwa yuko upande wa wananchi.

Wabongo bhana msipopiganiwa haki zenu mnasema viongozi mafisadi mkipiganiwa haki zenu bado mnasema viongozi wanafiki na ndiyo maana viongozi wengi wameona wajiangalie wao na familia zao tu maana wabongo hamna jema.

Lazima mjue siyo viongozi wote wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi wapo ambao wana uchungu na wananchi.

Hakuna lolote huyo anajijenga kisiasa siku akitaka nafasi kubwa au akitaka kutetea ubunge wake awapumbaze watu kwamba alikuwa na uchungu nao sana.

Tanzania baada ya Nyerere hajatokea tena mwanasiasa wa kuaminiwa wote njaa tu hawa
 
Mbunge wa Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.

Silaa amemwaga machozi akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwendokasi kuanzia Kariakoo hadi Gongo la Mboto Jijini Dar es salaam imevurunda katika miradi mingine.

Mbunge wa Mbulu Vijijini kupitia CCM, Flatei Massay, yeye aliamua kuruka Sarakasi ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami jimboni kwake. Jerry Silaa aangua kilio. Flatei Sarakasi. Kulikoni kwa hawa wabunge?

View attachment 2235484
Huu mhimili siku hizi imejaa vichaa mara mmoja kapiga sarakasi mara mwingine analia…!
 
Mbunge wa Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa akilia baada ya kumaliza kuchangia mjadala wa kupitisha makadikio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Jijini Dodoma leo.

Silaa amemwaga machozi akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwendokasi kuanzia Kariakoo hadi Gongo la Mboto Jijini Dar es salaam imevurunda katika miradi mingine.

Mbunge wa Mbulu Vijijini kupitia CCM, Flatei Massay, yeye aliamua kuruka Sarakasi ikiwa ni njia ya kuonyesha hisia zake kwa kero ya kutokuwa na barabara ya lami jimboni kwake. Jerry Silaa aangua kilio. Flatei Sarakasi. Kulikoni kwa hawa wabunge?

View attachment 2235484
Kwa nini hakulia Enzi za Jiwe.


Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kampuni ni wahuni walitokea kenya wamefanya uchafu mwingi huko sasa wamekuja tz kutuhalibia nchi
 
Mkuu usimtetee huyu jamaa labda kama huishi Ukonga. Hana msaada wowote kwa wananchi na hali ya barabara na huduma za jamii kwenye jimbo la Ukonga inatisha.
Anaweza kuwa Ndio Jerry Silaa huyu
 
Mmeona wengi hawana muda na hilo bunge la kijani sasa mnaanza kutengeneza drama kutafuta attention.
 
Back
Top Bottom