Mbunge Jerry Silaa aangua kilio bungeni baada ya kumaliza kuchangia mjadala

Walie tuu,wakati wanaimba mapambio miaka ya Jiwe walijua barabara zinajengewa makamasi yao?

Ujenzi wa barabara ulivurugwa na Mwendazake kwa kutoa kipaombele kwenye Reli kwa.kuhamisha.pesa kutoka kwenye barabara..

On top of that Wakandarasi walikuwa wanadai madeni makubwa ya serikali Kwa miradi ya nyuma ambayo ilikuwa imekamilika ila Serikali ilichelewa kulipa kwa kukosa pesa na riba zakawa kubwa zaidi..

Matokeo yake bajeti iliyomalizika iliishia kulipa hayo madeni ya Serikali,aliwahi ongea hata Halima hili jambo..

Hii ndio shida sasa ya kuwa na Rais ambae anajiamulia anavyojiskia yaani hatima ya Nchi iko kwa mtu mmja atakavyojiskia.
 
Hizi Click Baits hizi !!! Ameangua Kilio kweli ? Sababu kuangua kulio ni tofauti na aina nyingine za kulia; hata kama ni kweli kalia
 
WANANCHI WA JIMBO GANI ? HAJAWAHI KUWA NAO AKIWA DIWANI WALA MBUNGE
 
Ni upunguani wa akili kuamini kuwa Tanzania sasa hivi ina Bunge
Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu usimtetee huyu jamaa labda kama huishi Ukonga. Hana msaada wowote kwa wananchi na hali ya barabara na huduma za jamii kwenye jimbo la Ukonga inatisha.
 
Bungeni kuna comedy hadi inakuwa kama kijiwe Cha kahawa, mwingine amebinuka sarakasi.........Chama Cha Mapinduzi kijitafakari selection ya mtu mwenye sifa za kuwa mbunge
 
binafsi huwa nikiwa na furaha kuna tendo fulani lazima nilifanye muda huo au baada ya hapo..
 
Haya huwa ni machozi ya mamba,mchongo hayana Cha umaana chochote,kwa mkwnja Hawa jamaa wanaopokea kwa siku,300K per day,lazima utafanya chochote Ili mradi tu,mbele ya mkwanja mrefu,hata nguo unaweza vua,
 
Kuna vita inaendelea kati ya Bongo Movie Vs Bunge Tulia,

Acha tuone nani ataibuka mshindi, tatizo wengine wanaigiza wakiwa wameshiba na wengine wanaigiza wakiwa na njaa.
Kulisaka tonge la ugali kunahitaji akili sana..!
 
Jerry ni kijana kidogo anaonyesha msimamo sema tu chama alichomo kimejaa wanafiki - akizidi sana hawakawii kumchomoa 2025 kwenye kura za maoni.
 
Jamaa ameruka sarakasi sijajuwa kilichomfurahisha hapa bungeni
Ameruka Sarakasi ili Serikali ipeleke maendeleo, kujengwe barabara ya lami kwenye Jimbo lake..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…