Hizo concrete roads zitakuwa jipu nazo baada ya wajajanja kuanza kupiga rations.π kuna baadhi ya concrete roads tayari zina nyufaArdhi zao zina maji na soil profile mbovu sana, ipo haja kwa huko tuendako tukatumia zaidi concrete roads, itaokoa hata gharama za kuziba viraka kila wakati.
Uko nyuma sana ktk elimu ya uraiaUnamtumbua vipi mtu ambaye kachaguliwa na wananchi!
Sioni umuhimu wa mbunge mpaka sasa kwa maelezo yako, kama yeye anapaswa kuwa msemaji katika Jimbo lake. Na sielewi hiko cheo ni cha nini.
Muache mbunge wetu nilikuwa mwinyi hapo alisema halali na ana suti moja tu. Ana wapambania wana mkuranga.Sio huyo yu, wabunge wengi ni hivyo, huyo ulega huko mkuranga kwenyewe hakuna cha maana alichofanya
Mkuu hizo siasa tu,tuseme kwa diwani ipo hivyo.Hizo concrete roads zitakuwa jipu nazo baada ya wajajanja kuanza kupiga rations.π kuna baadhi ya concrete roads tayari zina nyufa
Ni kweli.Uko nyuma sana ktk elimu ya uraia
Kwani yy ndio anajenga barabara??Jerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.
Anapambania nini haswa barabara mtihani, njia ya kwenda kisiju ni mbooovu, baadhi ya vijiji haswa kata ya tengelea umeme hakuna wakati wenzao dondwe, chanika umeme upo, hiyo barabara ya dondwe to mkuranga ni mboovu wakati inaunganisha wilaya 2 ama 3 kabisa.Muache mbunge wetu nilikuwa mwinyi hapo alisema halali na ana suti moja tu. Ana wapambania wana mkuranga.
Hata hvyo aachie kijiti hiko mana mji ushakuwa huo.Anapambania nini haswa barabara mtihani, njia ya kwenda kisiju ni mbooovu, baadhi ya vijiji haswa kata ya tengelea umeme hakuna wakati wenzao dondwe, chanika umeme upo, hiyo barabara ya dondwe to mkuranga ni mboovu wakati inaunganisha wilaya 2 ama 3 kabisa.
Ndio maana huwa najiuliza wananchi wenye kupiga kura huwa wanatumia vigezo gani kumchagua mbunge kwa kuangalia hizo kazi za mbunge!Nimesema tafuta vitabu ujisomee.
Kazi ya mbunge ni uwakilishi . Anachukua maoni, shida, mipango na matamanio ya wananchi wa jimboni kwake halafu anayatumia kutunga sheria, kupanga bajeti na kuisimamia serikali bungeni.
Ndege wafananao huruka pamoja mkuu.Halafu anakuja kugundua ameteua matapeli.
Ni tapeli haswaNi mlaji pesa za umma mzuri sana tokea akiwa waziri kwenye serikali ya wanafunzi UDSM
We gebwe sanaUkonga kuna barabara mbovu na maji ya shida. Hata Segerea maji tatizo. Wananchi wa majimbo hayo mawili hawaogi na ni wachafu hasa kwenye daladala, tena ukutane na wanawake wa Kitunda weusi tii, wamepiga mkorogo alafu wana mawigi yanatema.
Mtu anakazana kupita kwenye vumbi akifika kwake maji ya kuoga hamna.
Atakayesema nimetukana basi aende Banana ajionee vipanya vya kwenda Kitunda uko.
Huu uzi ufungwe sasa πππUkonga kuna barabara mbovu na maji ya shida. Hata Segerea maji tatizo. Wananchi wa majimbo hayo mawili hawaogi na ni wachafu hasa kwenye daladala, tena ukutane na wanawake wa Kitunda weusi tii, wamepiga mkorogo alafu wana mawigi yanatema.
Mtu anakazana kupita kwenye vumbi akifika kwake maji ya kuoga hamna.
Atakayesema nimetukana basi aende Banana ajionee vipanya vya kwenda Kitunda uko.
Mkuu wanasiasa ni wao go toka enzi za Musa. Wewe simamia majukumu yake kisheria, banana naye hapo tu, achana na maneno yake!Wenyewe wabunge huwa wanatoa ahadi za kutujengea barabara kwenye campaign zao
Nimejibu kwenye comments za nyuma huko. Nilipokuwa nampa majibu Fintan20Kazi za mbunge ninini mkuu!
Wengine hawajitambui. Ni kwasabb ubunge hata wajinga wanaruhusiwa kugombea ubunge. Maana sifa za kugombea ubunge ni ;-Wenyewe wabunge huwa wanatoa ahadi za kutujengea barabara kwenye campaign zao
Wananchi wa taifa hili humchagua mtu aliyegawa kanga na kofia kwa wingi.Ndio maana huwa najiuliza wananchi wenye kupiga kura huwa wanatumia vigezo gani kumchagua mbunge kwa kuangalia hizo kazi za mbunge!
Hata wabunge wa upinzani nao huchaguliwa kwa mtindo huo?Wananchi wa taifa hili humchagua mtu aliyegawa kanga na kofia kwa wingi.
Ama aliyewabeba kwenye malori kuwapeleka kwenye mikutano ya kampeni mara nyingi zaidi.
Mbunge hajengi barabara,acheni ujingaJerry hakuna anachokifanya, barabara nyingi ukonga ni mbovu hasa kipindi hiki cha mvua. Ni mmoja wa wabunge watakaopata shida uchaguzi ujao.