Mbunge Jesca Msambatavangu: Wanafunzi wanatumia Boom Kubeti badala ya Kusoma. Serikali itafute utaratibu mpya wa kuwakopesha

Mbunge Jesca Msambatavangu: Wanafunzi wanatumia Boom Kubeti badala ya Kusoma. Serikali itafute utaratibu mpya wa kuwakopesha

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.

Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.


My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.

Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.

Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.

Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting.

====

Pia soma:
 
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.

Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba wa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting. Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Mtu mzima unataka umpangie matumizi ya hela ambayo at the end of the day atailipia yeye mwenyewe..?
What happened to common sense..?

Nilikuwa nakuheshimu kumbe mtu wa hovyo hivi
 
Mtu mzima unataka umpangie matumizi ya hela ambayo at the end of the day atailipia yeye mwenyewe..?
What happened to common sense..?
Nilikuwa nakuheshimu kumbe mtu wa hovyo hivi
Hapana watu wazima pale ,90% ni Vijana wadogo wako 19-23 age still they are young and foolish.

Mwisho hata watu wazima Huwa wanapangiwa ,sio Kila mtu mzima ana akili ya mtu mzima
 
Hapa shida ni elimu ya matumizi sahihi ya fedha. Watoto wafundishwe personal finance toka wakiwa wadogo, jinsi ya kusimamia hela zake binafsi wawe na uelewa.

Sasa mtu anatoka huko bush hajawahi kushika hata laki ya kwawe mwenyewe, anafika chuo mnamrundikia laki 6 ama 7 ghafla kwenye akaunti lazima achanganyikiwe.

Tuwafundishe matumizi sahihi ya fedha, hawatatumia kubeti watafanyia shughuli nyingine za manufaa zaidi.
 
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.

Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.


My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.

Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.

Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.

Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting. Pia soma Mbunge

Pia soma: Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
hizi ni akili za kina babutale kabisaaaa
 
Hapa shida ni elimu ya matumizi sahihi ya fedha. Watoto wafundishwe personal finance toka wakiwa wadogo, jinsi ya kusimamia hela zake binafsi wawe na uelewa.

Sasa mtu anatoka huko bush hajawahi kushika hata laki ya kwawe mwenyewe, anafika chuo mnamrundikia laki 6 ama 7 ghafla kwenye akaunti lazima achanganyikiwe.

Tuwafundishe matumizi sahihi ya fedha, hawatatumia kubeti watafanyia shughuli nyingine za manufaa zaidi.
Hili laweza kuwa nusu ya utatuzi wa changamoto na si kuwafutia boom/bomu lao.
 
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.

Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.


My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.

Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.

Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.

Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting. Pia soma Mbunge

Pia soma: Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Hawa nao na vikao vyao vya chama wanakera sasa, hiyo hela si ntailipa mimi iweje tena tupangiane namna ya kutumia

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom