Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Lakini si kuna watu wapo mtaani mshahara wao ni laki nne na wanabet, wanakunywa pombe na bata sana?
Mi naona mi naona serikali itimize wajibu wa kuwakopesha matumizi iwaachie wao maana mwisho wa siku ile ni pesa ambayo watatakiwa kuilipa!
Tanzania sio nchi pekee inayotoa mkopo kwa wanafunzi, alafu wabunge vipo vitu vya kuzungumzia bunge vipi wapoteze mda wao talking about trivial things like this?
Mi naona mi naona serikali itimize wajibu wa kuwakopesha matumizi iwaachie wao maana mwisho wa siku ile ni pesa ambayo watatakiwa kuilipa!
Tanzania sio nchi pekee inayotoa mkopo kwa wanafunzi, alafu wabunge vipo vitu vya kuzungumzia bunge vipi wapoteze mda wao talking about trivial things like this?