Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hamuwafurahishi kwa kutojiunga kwa wingi umoja wa vijana CCM vyuo vikuu na kutoa matamko ya kumtukana,kumdhalilisha na kumlaani Lissu & the Coy.Hawa nao na vikao vyao vya chama wanakera sasa, hiyo hela si ntailipa mimi iweje tena tupangiane namna ya kutumia
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hakuna mahala wamesema wafute Boom Bali wamesema waangalie utaratibu Mpya wa disbursementHili laweza kuwa nusu ya utatuzi wa changamoto na si kuwafutia boom/bomu lao.
Ndiyo watoe ABCs wanazoziona njema zichekechwe.Hakuna mahala wamesema wafute Boom Bali wamesema waangalie utaratibu Mpya wa disbursement
Wanataka msahau sukari ya Mpina.Wabunge wetu wamejaa lawama tu hawana solution
Very very few of them na reference ni Kwa wengi wasio na akiliWenye akili wanazitumia vizuri hizo Boom, kuna dogo kafungua biashara yake hivi sasa inakimbiza balaa.
Unaona hata yeye hajasema nini kifanyikeWabunge wetu wamejaa lawama tu hawana solution
Siyo kubeti tu hata mikopo mingi iliyoko kwenye jamii, (mlangoni kwako) inadumaza akili badala ya kubuni njia ya kukuingizia kipato unaenda kukopa, jamani niwekeeni wimbo wa nitoke vipi hahahaa tulikuwa tunajibu Toka kama ulivyo,. Akili zilezile zilizo tengeneza tatizo haziwezi kutatua,(tatizo), changamotoMbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa kimaisha na kuiasa jamii kwamba kubeti kunaharibu ubongo na kufanya watu wasiwe critical thinker wawe mazezeta.
My Take
Aliwahi toa maoni kama haya Mbunge Getere na yule wa Kahama ila walishambuliwa sana.
Ukweli ni kwamba Wafunzi wanatumia hizi hela kubeti na kufanya starehe zingine.Naunga mkono wazo la kutafuta utaratibu mwingine wa kutoa hii mikopo ikiwezekana wapewe vyakula Wakiwa Chuo na Mahitaji mengine directly badala ya Fedha mkononi.
Kukalia kimya jambo hili Kwa kujifanya eti halipo au kuogopa kutukanwa au kutumika Kisiasa haisaidii jmaii Bali inakuza ujinga.
Uganda huko Maelfu ya Wanafunzi walifukuzwa Chuo Kwa kula ada Kwa sababu za betting. Pia soma Mbunge
Pia soma: Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
machawa ndo yalivyo hayana hoja za msingiAre you serious..?
Kumbe huwa ndo upo primitive hivi..?
Nimechoka.
Kumbuka kuna kupanga kwa wale wanaokaa mbali, kuna kuongezea hela ya boom kwenye ada na inayobaki ndio inakuwa ya matumizi. Mkuu hiyo hela ni ndogo sana kuliko unavyofikiri kwa hawa wanafunzi.Pili kwanini hawa wabunge wanajumlisha wanafunzi wote ni wanabet?Hapa shida ni elimu ya matumizi sahihi ya fedha. Watoto wafundishwe personal finance toka wakiwa wadogo, jinsi ya kusimamia hela zake binafsi wawe na uelewa.
Sasa mtu anatoka huko bush hajawahi kushika hata laki ya kwawe mwenyewe, anafika chuo mnamrundikia laki 6 ama 7 ghafla kwenye akaunti lazima achanganyikiwe.
Tuwafundishe matumizi sahihi ya fedha, hawatatumia kubeti watafanyia shughuli nyingine za manufaa zaidi.
Kila anaegusa hoja ya kuondoa boom hatarudi bungeni.Kumbuka kuna kupanga kwa wale wanaokaa mbali, kuna kuongezea hela ya boom kwenye ada na inayobaki ndio inakuwa ya matumizi. Mkuu hiyo hela ni ndogo sana kuliko unavyofikiri kwa hawa wanafunzi.Pili kwanini hawa wabunge wanajumlisha wanafunzi wote ni wanabet?
Kama yale yale ya kikokotoo. Walikomba hela mifuko ya hifadhi ya kijamii hadi mifuko ikakosa uwezo wa kuwalipa wastaafu mafao yao ndiyo wakaleta usanii wa kikokotoo.Serikali washakosa hela za kuwapa wanafunzi, wanaanza maswala ya kuwapangia matumizi.