Mbunge Joseph Kasheku Msukuma ataka Magufuli apewe Mihula minne ya Miaka 20 ili kukamilisha miradi

Amefilisiwa na bank ana ogopa akija mwingine atailipaje madeni yake aliyokopa,wanahaha Sana hawa watu,mwacheni mzee wa watu apumzike kwani ataki kupumzika amekuwa punda KILA siku Kazi tu.Watamalizia wengine alipoishia, maana hata apewe miaka 100 bado kuna vitu atovimaliza.
 
Hawa watu wenye akili kama hizi huwa wanafikaje kwenye ngazi ya ubunge?

Sasa kwa ufahamu huu tutafika popote kweli?
Walipita bil kupingwa hofu akiingia mwingine wataishije, kumbuka hawana ujanja wa kuishi nje ya kulipwa,thus wanauwa Hadi watu Ili washinde
 
Sawasawa
 
Msukuma inaelekea kuwa hajui kuwa hata hayo maendeleo ya China yalikuwa wakati wakiwa na term limits.
 
Tanzania kuna wapinzani ? Mimi najua kuna wanaharakati tu. Wapinzani watoke wapi nchi hii ? Usitudanganye hapa eti wewe mpinzani, wa kitu gani hasa ?
Mimi nimeleta tu alichokiongea huyo mbunge wa ccm ili watu wakione. Mimi sipo upande wa ccm mimi ni mpinzani
 
Unakumbuja Nyerere aliongiza kwa muda gani ? Ni miaka 23 ndio akafanya hayo. Kwa hiyo Lazima tujitafakari kuioitia katiba upya
 
Katiba siyo msahafu inaweza badilishwa tu
 
Miradi isiyogusa watu ndiyo ipi? Halafu jaribu kutumia kichwa chako vizuri, kumbuka siyo kila anayetoa mawazo dhidi ya Magu Ni CHADEMA!! Angalia ubora wa hoja tu
Ni CHADEMA ndio vichwa maji. Wanawaza kupiga deal tu
 
Acha ubinafsi mkuu....mishahara ni kwa ajili ya watumishi, reli na Umeme ni kwa ajili vizazi vya sasa na vijavyo!
SGR na gorge yake na miradi mingine ya kukurupuka ambayo imezima ajira na nyongeza za mishahara bado inamuwazisha kichwa , ameona haitakamailika anataka ajimilikishe hii nchi
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ˜ถ๐Ÿ˜ถ๐Ÿ˜‘๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ÿ๐Ÿ˜žโ˜น๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜’๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฏ
 
Kwani Musukuma ana elimu gani. Hebu tuanzie hapo!

Tusije tukawa tunamsikiliza layman aliyepata bahati ya kuwa bungeni kwa kusaidiwa na wizi wa kura!

Anafikiri maendeleo ya China yameletwa na Xi Jinping peke yake?
Mpinge Mtu kwa Hoja na siyo kwa Kumdharau kuhusu Elimu yake tafadhali. Kama Elimu Kwako ni Tija sana mbona Tanzania yetu hii miaka nenda rudi inaongozwa na hao hao Wasomi wako lakini bado nchi yako inasuasua kama si kujikongoja katika kuyatafuta Maendeleo ya kweli?

Najua kuwa Mbunge Msukuma hakupata Elimu Kubwa kama walizonazo wengine ila kuna Hoja zingine ambazo huwa anaziibua Bungeni na Kuzijenga vyema kuliko hata hso Wasomi na hizo Elimu zao.

Huwa sipendi Mtu aliyebahatisha au kupata tu fursa ya Elimu halafu akaitumia hiyo Elimu yake ambayo hata Yeye Mwenyewe japo anayo Kuwadharau wasio kuwa nayo, na pengine haijamsaidia chochote ila anajitutumua nayo tu hapa JamiiForums ambapo bahati mbaya wengi Wetu hatujuani Kiuhalisia.
 
Hii sasa inaitwa uelewa una decrease in increasing rate
 
Tunamtakia kila la heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ