Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Katiba ijayo kuwa mbunge angalau awe na satifiketi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuheshimu Katiba iliyopo japo ina mapungufu. Kama tunataka kupanua muda wa ukomo wa uongozi wa nchi, basi tuanzie kwenye mchakato wa Katiba.Magufuli ni raisi tunayemuhitaji kwa kipindi kirefu, idgaf about democracy, wewe umemtaja Nyerere mbona hao wengine hujawataja michango yao?for me baada ya Nyerere ni Magufuli, hatuwezi kuwa na democracy inayotuletea viongozi wa ovyo ovyo, mfano Tundu lisu angeshinda 2020, ingekuwa ni miaka mi 5 mipya ya upuuzi, cha msingi Magufuli ana weakness zake, kelele ipigwe ajirekebishe yeye siyo Mungu kuwa hakosei, ndio maana huwa anarudi nyuma na kusahihisha (kusamehe)
Hawa politician wengi wanawaza matumbo yao, madaraka, wanadhani wakishafika level flani basi cha mwisho ni kuwa raisi, uzalendo hamna. As long as haki za binadamu zinazingatiwa, Magufuli is my president, ila naye ajirekebishe, mkali sana mpaka wasaidizi wake wanaogopa kumshauri
Kwa maelezo ya msukuma ni kwamba magufuli amefeli kutekeleza majukumu yaliyo kwenye ilani ya chama ndani ya miaka mitano ya kwanza na hawana uhakika kama ataweza kwenye miaka mitano ya mwisho ndo maana wanaomba aongezewe. swali, kama ameshindwa majukumu ya miaka mitano je ataweza miaka mingine ikiongezwa kwani na ilani itakuja na mambo mengine mapya?Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
Hata hivyo akiichagiza ushauri huoo kwa bunge, Mheshimiwa Spika Job Ndugai alimwambia muda wako umeisha na muda haupo upande wako.
Nashindwa kuipakua video yake Msukuma You Tube na kuiweka humu.
Binafsi nashangaa hoja ya Mh. Msukuma ya kuongeza muda ili Mh. Rais aendelee na majukumu aliyoyaanzisha ya kukuza uchumi.Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru.
Akiitolea mfano China yenye maendeleo makubwa huku mihula ya Urais haizingatiwi, kasema sio dhambi kumpa muda zaidi Rais John Magufuli mwenye udhubutu.
Hata hivyo akiichagiza ushauri huoo kwa bunge, Mheshimiwa Spika Job Ndugai alimwambia muda wako umeisha na muda haupo upande wako.
Nashindwa kuipakua video yake Msukuma You Tube na kuiweka humu.
Vilaza aina ya musukuma ndio upeo wao ulipoishia. Wanafikiri Watanzania wote ni vilaza kama wao. Magufuli yeye kama yeye kitu gan cha tofauti na wengine amefanya? Tangu tupate uhuru tumekua tunajenga miundombinu, huku maisha yakiendelea km kawada- bila watu kupotea, kupigwa risasi, kuuwawa au kuokotwa ndani ya virobaKwani Musukuma ana elimu gani. Hebu tuanzie hapo!
Tusije tukawa tunamsikiliza layman aliyepata bahati ya kuwa bungeni kwa kusaidiwa na wizi wa kura!
Anafikiri maendeleo ya China yameletwa na Xi Jinping peke yake?
Wewe nawe mwishoni ndio umeharibu kabisa.Binafsi nashangaa hoja ya Mh. Msukuma ya kuongeza muda ili Mh. Rais aendelee na majukumu aliyoyaanzisha ya kukuza uchumi.
Msingi wa kukataa ni huu;
1.Kwa kuwa Mh. Mbunge amekiri kuwa miradi inayotekelezwa sasa haina tija kwa wananchi wa hali ya chini inakuaje Mh. Rais aendelee kukaa madarakani?
2.Kwa kuwa Mh. Rais aliwahi kusema hadharani akiwa Korogwe kuwa hatoongeza muda wa Urais, inakuaje Waheshimiwa wabunge wanaendelea kumlazimisha huko si kumkosea Mh. Rais na kuivunja katiba na ku tumia muda wa kujadili vitu vingine vyenye maslahi kwa nchi vibaya.?
3.Mh.Mbunge kusema kuwa biashara zinafungwa awamu hii, je ndani ya miaka 20 si biashara zote zitakuwa hoi bin taabani?
Mh. Mbunge katika hotuba yake alipatia sana mwanzoni, lakini mwishoni aliharibu kwa kumchongea Mh. Rais /kujipendekeza ili aonekane anampenda Mh. Rais kwa hoja ya kumuongezea muda.
Hata hivyo suala la kujadili muda /ukomo wa Urais lisiwe wakati huu,lisubili hadi pale miaka yake hii mitano itakapoisha alafu tathmini ifanywe ili kama itaonekana inafaa si dhambi kumuongezea muda Mh. Rais ilimradi nayeye akubali kututumikia na sio kumlazimisha.
Ndivyo tunavyoharibu siku zote mkuu.Wewe nawe mwishoni ndio umeharibu kabisa.
Litaleta mpasuko nchini,ni kuwabagua waislamu kutowatendea haki Ina maana nao hawana haki ya kuongoza?Msukuma ni k!, japo wazo hili limeshapita, imekula kwangu.
Kwani akivunja anamkomoa nani ?!@JOESKYAkivunja mtamfanya nini?
Anatukomoa watanzaniaKwani akivunja anamkomoa nani ?!@JOESKY
Wanataka watumishi wasiongezewe milele mishahara.Kipi kipya alichofanya Hadi awe special Hadi tuvunje katiba.Anatukomoa watanzania
Wanataka watumishi wasiongezewe milele mishahara.Kipi kipya alichofanya Hadi awe special Hadi tuvunje katiba.Anatukomoa watanzania
Wanataka watumishi wasiongezewe milele mishahara.Kipi kipya alichofanya Hadi awe special Hadi tuvunje katiba.Anatukomoa watanzania
Mtu anaetegemea ndumba ndo aishi katu hawezi kuwa perfect. Kiongozi wa china sio mwizi, fisadi, mkabila, kujaza ndugu zake KILA mahali, hana dabo standard kwenye kudeal na ufisadi, ajengi kijijini kwake asomeshi namba Ili aabudiwe, anajenga nchi, abomoi nchi, akomoi matajiri kwake ni sahihi hata akiongeza.Hofu ni Hawa wenye mikopo mikubwa wataishije watailipaje akiondoka mungu wao kwao tumbo ni best kuliko wanyonge wanaonyongwa na Utawala huu dhalimu.Anatukomoa watanzania
Kuna watu wanafaidi kipindi hiki, wao wanaona bora aendeleeMtu aliyevuruga nchi kiasi hiki aongezwe muda ? Mgonjwa wa bipolar disorder ,user of cannabis sativa .