Russia, Rwanda wameweza nadi tutaweza tuKumbuka wewe sii machina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia, Rwanda wameweza nadi tutaweza tuKumbuka wewe sii machina.
wasaliti na wahaini wa nchi hii ni WABUNGE NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA Vimekosa huruma na waTZKatiba yetu imetamka wazi kwamba ni awamu mbili achia ngazi wengine waingie..akiruhusiwa kuendelea kisa kafanya miradi mingi inatia mashaka kwa sababu hakuna rais ambae hakufanya jitihada zake ili kuweza kutoka hali moja kwenda nyingine, Pale walipofikia muda wao ukawa umeisha waliendeleza waliofuatia katika ngazi hio ya rais.Tz wakifanya makosa ya kubadili katiba ili magufuli aendelee kuwa madarakani,tutaenda kupoteza dira kama taifa.
Nawapashaga Chadema humu JF, ila inonekana kuna watu wapuuzi kama weweNchi haitafuti Mpishano wa Viongozi kwenda Ikulu. Bali tuna hitaji kiongozi kama Magufuli Mjomba.
Watu kama Hawa ni Adimu sana Mjomba. Tunapo mpata hatuna budi tumtumie Mjomba.
Magufuli 10 Tena 👐👐👐👐
Jamani mie nina wazo. Hawa wanaotaka kutuletea hili janga jamii iwagomee na kuwatenga na familia zao. Yoyote yule alieropoka haya mambo ya kuengezeana muda, popote aliposemea hafai kuwa katika jamii yetu kwa sababu ni wabinafsi.Akizungumza bungeni leo Mheshimiwa Msukuma kadai hakuna Rais aliyedhubutu Kama Magufuli tangu tupate uhuru...
Hao ndiyo wanaotakiwa kwa sasaWabunge wenye mawazo ya utopia namna hii wana takiwa kupimwa mkojo
Miradi isiyogusa watu ndiyo ipi? Halafu jaribu kutumia kichwa chako vizuri, kumbuka siyo kila anayetoa mawazo dhidi ya Magu Ni CHADEMA!! Angalia ubora wa hoja tuMbona hoja yake ya miradi isiyogusa wananchi tuachane nao Ufipa Wote mlishangilia na hamkumuita Darasa la Saba.Saizi ni kilaza Bwashee
Kinacho nistaajabisha hadi sasa wabunge walio ishia la pili c ndio wanao taka JPM aongezewe mda sijui kwaniniHapo ndipo alipoboa. JPM kipenzi cha wengi akamilishe miaka yake 10 na 2025 akabidhi kijiti kwa mwingine. Hizi ngonjera za akina Msukuma ni za kupuuzwa
Hatutaki"Haya mambo ambayo tunaona Rais ameyafanya tunaweza kuona namna tukamuongezea muda, kwani kitu gani mbona wenzetu wamefanya?, ina maana sisi watanzania tunaijua demokrasia zaidi ya wachina ambao ni matrilionea wamefka mahal wakaona tumuongeze Mtu hata miaka 20 mbele"---- MUSUKUMA
Ukiwa na akili ndogo halafu una influence ni msiba kwa jamii maana utatumia vibaya karama hizo na kwakuwa maccm huwa hayasomi vitabu basi ni shida. Mkapa alishaona ubaya wa extension ya muda wa kukaa madarakani na alionya."Haya mambo ambayo tunaona Rais ameyafanya tunaweza kuona namna tukamuongezea muda, kwani kitu gani mbona wenzetu wamefanya?, ina maana sisi watanzania tunaijua demokrasia zaidi ya wachina ambao ni matrilionea wamefka mahal wakaona tumuongeze Mtu hata miaka 20 mbele"---- MUSUKUMA
Na wana agenda yao juu ya hili jambo haiwezekani wote wanapambana kulisemea kwa nguvu zote. There is a reason behind this issue!Hatutaki
Hapo ndipo alipoboa. JPM kipenzi cha wengi akamilishe miaka yake 10 na 2025 akabidhi kijiti kwa mwingine. Hizi ngonjera za akina Msukuma ni za kupuuzwa
Mkuu kwa huyu yohana alivyo na tamaa pia katuumiza watu wengi sana kwenye utawala wake ni dhahiri kabisa kutoka kwake kwenye kiti haitakuwa rahisi maana anaogopa naye atakuja kuumizwa kama alivyoumiza watu hivi sasaUkiwa na akili ndogo halafu una influence ni msiba kwa jamii maana utatumia vibaya karama hizo na kwakuwa maccm huwa hayasomi vitabu basi ni shida. Mkapa alishaona ubaya wa extension ya muda wa kukaa madarakani na alionya.