Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Ukitaka kuua nyoka anza kuangalia miguuni kwako, usianzie nyumba ya pili wakati chumba chako kinaweza kuwa na nyoka.
Demokrasia ya vipindi vya uongozi tunge anza kwenye vyama vyenu tungesikilizwa sana. Lakini vipindi au muda wa uongozi sisi hatutaki heshima na tunataka wenzetu wa heshima ni double speak.
Mbowe tumempa miaka 25 ya kuongoza, wana CCM wanataka wamuongezee mwenyekiti wao miaka 5, ili iwe jumla miaka 15 sisi midomo juu kama vile nchi ni mbili.
Wao wanataka kumuongezea muda Mwenyekiti wao CCM miaka mingine mitano akimaliza hii mitano, tatizo ni nini? Au kwa kuwa Mwenyekiti wa CCM ni mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania?
Demokrasia ya vipindi vya uongozi tunge anza kwenye vyama vyenu tungesikilizwa sana. Lakini vipindi au muda wa uongozi sisi hatutaki heshima na tunataka wenzetu wa heshima ni double speak.
Mbowe tumempa miaka 25 ya kuongoza, wana CCM wanataka wamuongezee mwenyekiti wao miaka 5, ili iwe jumla miaka 15 sisi midomo juu kama vile nchi ni mbili.
Wao wanataka kumuongezea muda Mwenyekiti wao CCM miaka mingine mitano akimaliza hii mitano, tatizo ni nini? Au kwa kuwa Mwenyekiti wa CCM ni mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania?