Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

LK huwezi mkuta anagawa pipi yaani aache zake kula wine na kukata uno.

Muda huu wako bize na wakina Musukuma,Chegeni wanakula maisha tu huo muda wa kugawa pipi hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama keshasema hatagombea tena kwa nini ahangaike kutoa mamilioni wakati JoJo & pipi zimejaa madukani
 
Anagawa pipi ya sh 50 au mia. Hii inaonyesha ni kiasi gani wabunge wana madharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…