johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!Huyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!Huyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
Mkuu acha Dharau mbona watu tu Darasa la Saba na tunajitambua !?Tatizo la hii nchi la Saba wengi.!!
Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.Tatizo la hii nchi la Saba wengi.!!
Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.
Cjaelewa kabisaHuyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
Asilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!
Daimondi aka myamaaNitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Bishia sasa.Daimondi aka myamaa
Akwambia daimondi. Au umekimbia uzi.Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
angalia video ya zawadi iko hapo juu mkuuCjaelewa kabisa
angalia video ya zawadi iko hapo juu mkuu
1.daimondi.Nish
Akwambia daimondi. Au umekimbia uzi.
Ombi lako tutalifikisha kunakohusika
Kaa kimya kabisa ucje tukana tena la saba, au kojoa ukalale.Mkuu acha Dharau mbona watu tu Darasa la Saba na tunajitambua !?
Asilimia 80 ya matajiri hii nchi ni standard 7Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Diamond ameishia la Saba?? Hata hvyo Diamond hayumo hata kwenye top 100, labda unaongelea about fame na sio wealthDaimondi aka myamaa
Taja Acha bla bla , mnajifariji sana, Kwa mitazmo hii hili taifa litaendelea kuwa one of poorest country everAsilimia 80 ya matajiri hii nchi ni standard 7