Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

Tatizo la hii nchi la Saba wengi.!!
Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.
 
Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.
Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
 
Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!
Asilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.
Mtu mwenye std vii hakiri huwaga ni freash. Haijabuguziwa. Hivyo darasa la saba ndo elim ambayo ilimwacha mtu akiwa freash.
 
Nish

Akwambia daimondi. Au umekimbia uzi.
1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
 
Back
Top Bottom