Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakaresa,Taja Acha bla bla , mnajifariji sana, Kwa mitazmo hii hili taifa litaendelea kuwa one of poorest country ever
Kwanza elewa sijatukana darasa la Saba na Kwa vile Una kichwa kigumu ngoja nikueleweshe , nilimaanisha kuwa tatizo kubwa la hii nchi ni kuwa watu wengi wameishia la Saba means hawana appropriate education kias cha kuargue mambo wanayofanya wanasiasa , haiji akilini mtu anawaletea Big G , mnashangilia kias cha kutaka kumchukulia fomu ya kugombea tena, huwez kufanya hv Kwa watu ambao wapo well educated , Kwa nyongeza Tu ni kuwa hakuna taifa linaloweza kusonga mbele kimaendeleo bila watu wake kuwa na elimu halipo....1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
Hao wote uliowataja hawapo kwenye top 50 ya matajir bongo , matajir wa mabas hao hamna kitu ....Bakaresa,
Jfour
Nchambis
Etc
Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Mtoa hoja ameponda elimu ya darasa la saba bila kufafanua au kutoa vigezo ya kufakinikiwa kwenye maisha. Wewe umetumia matajiri 50 Tanzania. Tana viwango vya elimu ili watu wachsngie hoja yako kutumia takwimu zako.1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!
Umeniquote wrongly , hujaelewa dhima ya mtoa maada na pia hujajua mzozo wangu umeanzia wapMtoa hoja ameponda elimu ya darasa la saba bila kufafanua au kutoa vigezo ya kufakinikiwa kwenye maisha. Wewe umetumia matajiri 50 Tanzania. Tana viwango vya elimu ili watu wachsngie hoja yako kutumia takwimu zako.
Siyo uchizi mkuu,Asilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.
Mtu mwenye std vii hakiri huwaga ni freash. Haijabuguziwa. Hivyo darasa la saba ndo elim ambayo ilimwacha mtu akiwa freash.
Kuna walioishia darasa la saba wamekuchukua tena wengi sana tu...Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Prof Assad hakukosea kama wabunge wenyewe ndio hawa!
BibriaAsilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.
Mtu mwenye std vii hakiri huwaga ni freash. Haijabuguziwa. Hivyo darasa la saba ndo elim ambayo ilimwacha mtu akiwa freash.
Wewe mwenye degree unashika namba ngapi kwa utajiri hapa nchini?Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Mkuu unawafahamu wazazi wake? Au umekariri kila mtu mtoto wa mkulima?Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.