Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
Kwanza elewa sijatukana darasa la Saba na Kwa vile Una kichwa kigumu ngoja nikueleweshe , nilimaanisha kuwa tatizo kubwa la hii nchi ni kuwa watu wengi wameishia la Saba means hawana appropriate education kias cha kuargue mambo wanayofanya wanasiasa , haiji akilini mtu anawaletea Big G , mnashangilia kias cha kutaka kumchukulia fomu ya kugombea tena, huwez kufanya hv Kwa watu ambao wapo well educated , Kwa nyongeza Tu ni kuwa hakuna taifa linaloweza kusonga mbele kimaendeleo bila watu wake kuwa na elimu halipo....
Uliowataja hapo ukitoa Bakhresa wengne wote hawamo kwenye top 50 ya matajir bongo, na pia elimu ya Bakhresa Kwa sasa sio la Saba,...
 
Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
Mtoa hoja ameponda elimu ya darasa la saba bila kufafanua au kutoa vigezo ya kufakinikiwa kwenye maisha. Wewe umetumia matajiri 50 Tanzania. Tana viwango vya elimu ili watu wachsngie hoja yako kutumia takwimu zako.
 
Mtoa hoja ameponda elimu ya darasa la saba bila kufafanua au kutoa vigezo ya kufakinikiwa kwenye maisha. Wewe umetumia matajiri 50 Tanzania. Tana viwango vya elimu ili watu wachsngie hoja yako kutumia takwimu zako.
Umeniquote wrongly , hujaelewa dhima ya mtoa maada na pia hujajua mzozo wangu umeanzia wap
 
Mleta mada labda tukuulize wewe na elimu uliyokuwa nayo umelisaidiaje taifa? Huku mtaani tulipo tunaona kati ya mwenye elimu na asiye na elimu wanaishi maisha sawa tu nakupishana kidogo kimaendeleo... Elimu sio inayofanya kazi brother piga kazi acha majungu... Asilimia kubwa ya kampuni apa Tanzania wenye izo kampuni hawajasoma ila wameajiri wasomi... Kwaiyo elimu yako itakusaidia kupata ajira yakuajiriwa tu basi nasi vinginevyo mkuu!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.
Mtu mwenye std vii hakiri huwaga ni freash. Haijabuguziwa. Hivyo darasa la saba ndo elim ambayo ilimwacha mtu akiwa freash.
Siyo uchizi mkuu,

Wengi wako mbele kwenye makablasha lakini ukija kiuchumi wako nyuma sana hivyo huwa wanajaribu kucompasate kitu ambacho ni cha kitheoretical zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah. Sikuamini hadi nilipoona video. Pipi kabisa. Kisha kuna mama anatangaza huyo ni mbunge xxxx .

Faraja kwa wagonjwa. Labda ni bora aliyegawa pipi kuliko mimi nisie gawa chochote. Hongera mbunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya watu wasomi hasa wa ngazi ya uprofesa ukiwachunguza vizuri wanakuwa na kauchizi! Bibria inasema uwe na kiasi ktk kila jambo! Hata elim ukiipitiliza unachizi ila kwakuwa unavyeti watu wa kiwango cha elim yako hawawezi kuona kauchizi kako mpaka wenye elim yachini kabisa hao ndo wataona.
Mtu mwenye std vii hakiri huwaga ni freash. Haijabuguziwa. Hivyo darasa la saba ndo elim ambayo ilimwacha mtu akiwa freash.
Bibria
Freash

#tayari eti!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yako nae yumo maana yeye ni mlima tumbaku nakusokota tumbaku kwa kufinyanga kiganjani na huku unatukana la saba umesahau mama yako alisoma ngumbaru! Wa tz bwana akiweza kuingia jf kawa msomi wakati huo matajiri wakubwa wa nchi hii wengi la7.
Mkuu unawafahamu wazazi wake? Au umekariri kila mtu mtoto wa mkulima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom