Kumbe bigjiiiiiiiHuyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
Acha kumkosea adabu Diamond..sio la saba1.daimondi.
2. Bakhressa
3.kishimba
4.Dr msukuma
5.frster
6.mzee manengero
Haya nimekumbuka nikiwa usingizini ngj niamke. Kuna mazee huko yanang'ombe acha kabisa nyie mnachart tu cm nakula vi chips kwa stick na vibeg ambavyo hatuna vitu ndani mifukoni vimejaa vitambaa. Na mchanga. Harafu unatukana darasa la saba.
Kubabeki huyo mbungeHuyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
😀😀😀😀😀Mwee!! Mgonjwa wa kisukari anapewa pipi ale!!.. na madokta wameruhusu
Mbunge wa hovyo kbsa eti tupipi jamani pesa za mfuko wa Jimbo kashindwa kutoa kdgo awanunulie hta sabuni lkn huyu c ndio anamiliki la kairo hotel?Zawadi zenyewe kumbe pipi[emoji23][emoji23][emoji23] nikajua labda katoa sabuni, sukari na vitu kama hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅Mbunge wa hovyo kbsa eti tupipi jamani pesa za mfuko wa Jimbo kashindwa kutoa kdgo awanunulie hta sabuni lkn huyu c ndio anamiliki la kairo hotel?
Yaani ccm inatudharau sana aisee!Huyu ni miongoni mwa wabunge wachache wenye ukarimu sana , kanuni ya maisha inasema kizuri kula na wenzako
ni mbunge mtukufu kutoka ccmNi mbunge wa chama gani huyu? Anagawa big g? Shame on him!
Atakuwa ni toka Greenleaf Party,haikosi.Huyu naye ni mtunga sheria na sera/dira ya Taifa letu pendwa.Hakika hatuwezi kufikia kipato cha kati kwa kuongozwa na watu kama hawa.Ni mbunge wa chama gani huyu? Anagawa big g? Shame on him!
Tukatae kuitwa wanyonge ndani ya nchi yetu iliyopata UHURU zaidi ya nusu karne iliyopita.Hii ni dharau iliyopitiliza kiwango.Kama akili zetu ndiyo hizi,tutaendelea kuitwa wanyonge mpaka YESU atakapoludi.
Mkuu,tutakataaje wakati akili zetu zimeishia kwenye pipi,vilemba ,kofia ,Fulana,acha tuitwe WANYONGE,tena wa kudumu.Tukatae kuitwa wanyonge ndani ya nchi yetu iliyopata UHURU zaidi ya nusu karne iliyopita.Hii ni dharau iliyopitiliza kiwango.
Ametoa ila hajajitangazaUsibeze kidogo cha mwenzio huo ndio uwezo wake. Je, wewe umetoa zawadi gani kwa wahitaji?
Nitajie tajir aliye ndani ya top 50 ya matajir hapa Tanzania aliyeishia la Saba ....
Hao wote uliowataja hawapo kwenye top 50 ya matajir bongo , matajir wa mabas hao hamna kitu ....