johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Basi amalizie salama hii ngwe iliyobakia!Lema kashakata tamaa na ubunge Arusha.
S/Kali si IPO???Hata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa.
Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao.
Usiwe kama mbunge wa Ukonga aliyetelekeza jimbo kwa kuendekeza ukabila eti kaenda kuwatumikia ndugu zake Tarime vijiji wakate Heche bado yupo.
Maendeleo hayana vyama!
Tamaa huwa inakatwaje??Lema kashakata tamaa na ubunge Arusha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna ndugu yangu naye ni muhanga wa huo moto. Anasema DC na RC wanashinda na polisi hapo sokoni kuhakikisha Lema haendi hapo, kwa mujibu wa tetesi nyuma ya pazia hao viongozi wa serikali wanasema wanalinda kura za ccm, kwa mantiki kuwa Lema akienda hapo sokoni atashawishi kura! Hivyo wamepanga kuwa Lema akienda hapo wambadilishie kibao kuwa anafanya siasa kwenye ajali ya moto.
Kumbe!Serikali IPO....na Mwenyekiti wa Ccm Mkoa wa Arusha Zerothe Steven na Mwenyekiti wa Ccm wa Wilaya pamoja na mkuu wa Mkoa walishaenda na wamesema walishatatua hilo tatizo Sasa unataka Lema aende kufanya nini tena! Ataenda kuongea na wapiga kura atakapo kuwa na muda wa kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa ndio nini bwashee?Mkuu Njaa inakupeleka pabaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamechoma soko makusudi kutafuta huruma ya wananchi, sasa wamefunga barabara ili wananchi wafanye biashara barabarani, hivi TRA itadai kodi kwenye yale maduka yalipopo opposite na soko upande wa makalasinga au watapotezewa ???
Yaani watu kukosa akili ndiyo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli basi tena, bora kufuta kabisa mfumo Wa vyama vingi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamechoma soko makusudi kutafuta huruma ya wananchi, sasa wamefunga barabara ili wananchi wafanye biashara barabarani, hivi TRA itadai kodi kwenye yale maduka yalipopo opposite na soko upande wa makalasinga au watapotezewa ???
Yaani watu kukosa akili ndiyo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa ndio nini bwashee?
Au mayala!!
Pole!Lumumba 7